Kipo chama chenu kitaanzishwa muda sio mrefu,kwa maelezo zaidi wasiliana na Gerald Hando au Paul James wa Clauds Fm,au sikiliza Power breaks fast,mtaweza kupeleka malalamiko yenu kisha kufanyiwa kazi,atakaeona aibu shauri yake!
Kama waasisi wa chama hawachezei kichapo, watajivua gamba muda si mrefu kwa sababu hawatakuwa viongozi bora wa chama bila ya kuwa na experience ya kuchezea kichapo!
Kama waasisi wa chama hawachezei kichapo, watajivua gamba muda si mrefu kwa sababu hawatakuwa viongozi bora wa chama bila ya kuwa na experience ya kuchezea kichapo!
Kama waasisi wa chama hawachezei kichapo, watajivua gamba muda si mrefu kwa sababu hawatakuwa viongozi bora wa chama bila ya kuwa na experience ya kuchezea kichapo!
Eiyer nina wasi wasi hujaoa ila mpaka sasa unachezea kichapo kwa mchumba uliye nae. Inawezekana ulikuwa so interested kusikiliza kwa kuwa unajua ukija kumuoa huyo mchumba kichapo kitakuwa size yako
kichapo ndani ya ndoa ni sehemu ya mahaba tu hakuna ajabu na usisahau huyo mke huwa si kichaa lazima huyo mume awe amemkera vya kutosha hasa ndio anachukua kipondo. HONGERA kwa wanawake wote wanaomudu kuwapa kichapo waume zao wapuuzi