Kwa WANAUME

BASHADA

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2011
Posts
513
Reaction score
148
Kwa wanaume, Hivi inakuwaje, inapotokea msichana anapokutokea akakuomba namba kwa sababu za kimsingi, (MASUALA YA KAZI, BIASHARA, ETC.) baadaye anaanza kukutext msg za ajabu ajabu. Baada ya muda mfupi unakuta wako kibao wanaokutext msg ambazo kwa kweli huelewi, mwishowe anakutamkia anakupenda, and lastly unakuta wako kama 20 au 30 kila moja anakutamkia kuwa anakupenda. Ukweli unataka umpate mmoja sasa hapo utafanyaje? af Wote wazuri. Vigezo gani vitumike kuchagua?
 

unajichanganya....hueleweki hata unachouliza..kwa nini hamjipangi kabla ya ku'post' thread...????
 
sidhani kuna tatizo la kupata sms 20 hata 30, after all maisha ni kujaribu. kama hutaki wengine wanataka.
 
Wewe ndo unawakeaza manake unaendeleza mijadala nje ya mada husika kama ni kazi iwe kazi na kama ni vinginevyo basi na kieleweke.wewe unamaanisha kisa unatusumbua ninisasa?
 

Hapo unapiga wote kwanza halafu unajichagulia aliyekurusha roho vizuri
 
.

Sasa sabubu za msingi ni zipi hapo. Kwa hiyo wote ishirini uliwapa namba zako za simu? ni biashara gani hiyo na wasichana wote ishirini? Au unauza ma hause girl? au una taka kufungua danguro? Wote wazuri? ndo maana ukawapa n0 zako, wewe si ulisema kibiashara?, sasa sisi tukusaidie vipi hapa? namba si umewapa mwenyewe? Haya fanyeni basi hiyo biashara.
acha kutuzuga hapa, biashara na mapenzi wapi na wapi.
 

Uzuri hapa unamaanisha nini? Unamaana wote wana vigezo vizuri tena sawa? Kama ni hivyo chezesha bahati na sibu uondoke na mmoja ua kama dini yako inakuruhusu, shindisha wanne.
 
Sio bure huyu atakuwa mwalimu wa tuisheni anayewazengea wanafunzi wake,muuza mahausigeli,kuwadi,anafanya kazi saluni ya kike,anauza mitumba/viatu vya kike,anapaka rangi kucha,anachaji simu au mchuuzi sokoni.
 
Swala lipo hv;- Kama kweli mwanamke anakupenda atajitahidi akwambie ana kwa ana na kama ni muoga bac atakutumia sms ya kukuelezea hisia zake na baadae atakutaka uonane nae ili kukuweka wazi vigezo alivyotumia kukupenda. Kama yeye anaishia kukutumia sms tu hyo anakutamani na huenda kuna kitu anakitaka kwako na co mapenzi. Ukiona hvyo muite uonane nae akwambie kwa mdomo wake huku unamwangalia, wa ukweli utamjua tu kulingana na facial expression yke.
 
Swala lipo hv;- Kama kweli mwanamke anakupenda atajitahidi akwambie ana kwa ana na kama ni muoga bac atakutumia sms ya kukuelezea hisia zake na baadae atakutaka uonane nae ili kukuweka wazi vigezo alivyotumia kukupenda. Kama yeye anaishia kukutumia sms tu hyo anakutamani na huenda kuna kitu anakitaka kwako na co mapenzi. Ukiona hvyo muite uonane nae akwambie kwa mdomo wake huku unamwangalia, wa ukweli utamjua tu kulingana na facial expression yke.
 
wote 20 kwa pamoja hawawezi tuma sms za mapenzi,,,labda wanafahamiana wote ndo wanaamua kukuchezea,,,,,au wanadhani co rizk
 

ungefupisha hoja..ungesema mwenzenu nimetokewa na wadada wengi sasa nichague yup na kwa vgezo vip....

lakin isije kuwa ao mademu wanaokuomba namba unakutana nao baa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…