Kwa wanawake tu Tafadhali!

hukuru

New Member
Joined
May 7, 2012
Posts
3
Reaction score
0
Habari! mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 26, dini ni muislamu, elimu Shahada (degree), ni muajiriwa. Nimeoona ni muda muafaka wa kumtafuta mwenzangu nitakayepanga nae maisha. awe na umri wa kuanzia miaka 18-25, elimu kuanzia form vi na kuendelea, urefu wa wastani. mwenye nia ya kweli ani pm. Thanks!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…