Kiranja shauri lako,hawakawii hawa kukurusha kichura!mi demu wangu huwa namwita kicheche, ila samahani kwa kuingia choo cha kike
Kiranja shauri lako,hawakawii hawa kukurusha kichura!
by the way mi wa kwangu huwa namwita kwa ubin wake' Binti Abdallah',nae huitika 'rabeka bwana',sasa hawa wa MMU sijui wanawaitikiaje waume/mabwana zao? ukimwita 'Dena' anaitika 'unataka nini',du e bana eeh shughuli!
nashukuru sio mimimi demu wangu huwa namwita kicheche, ila samahani kwa kuingia choo cha kike
Je akupendae (mumeo/mchumba/mvulana) anakuitaje???
Nimepata hii sms nikaona ngoja niirushe hapa maana imenichekesha kidogo:
1. Honey= Kimeo
2. Dear = Wakuzugia
3. Sweet = Mshamba
4. My Love= Zezeta
5. Baby=Jinga
6. Mpenzi = Malaya
7. Darling = *****
8. Wife = Kahaba
Kuna ka ukweli hapo kwenye namba 2, na 5 kwa upande wangu
Nisameheni bure jicho halina pazia,was just passing,byeeeeeMie naitwa Dena hakuna cha honey wala nini. Bishanga wafanya nini huku??
Je akupendae (mumeo/mchumba/mvulana) anakuitaje???
Nimepata hii sms nikaona ngoja niirushe hapa maana imenichekesha kidogo:
1. Honey= Kimeo
2. Dear = Wakuzugia
3. Sweet = Mshamba
4. My Love= Zezeta
5. Baby=Jinga
6. Mpenzi = Malaya
7. Darling = *****
8. Wife = Kahaba
Kuna ka ukweli hapo kwenye namba 2, na 5 kwa upande wangu