Hapo ka red nadhani itakuwa spelling mistake.... navokujua matak.o kwako siyo ishu kabisa.matokeo yako ya fomu foo na fomu six yalikuwaje?
Ulikuwa bundi au msuli kitanda?
Sitako kuharibu mbegu ya ukoo.
Hapo ka red nadhani itakuwa spelling mistake.... navokujua matak.o kwako siyo ishu kabisa.
Hujambo lakini? Hebu mPM mshkaji afu unambie ana moto gani? Kuna mabaamedi pale fyatanga kila siku wananiomba niwazalishe...:glasses-nerdy:
Anachezeya JF? Ngoja midume yenye ID na avatar za kike yaingie PM. Siku wanapanga kukutana atakiona cha moto atakapokutana na mabaunsa yanayopenda wanaume wenzao. Huyu Dave huyu.... mi napenda sana huyu Cameroon. Ameleta heshima sana huyu...:confused2:he he he, naona hajibu PM, au zamu yangu ya kujibiwa bado haijafika.
Anataka kugawa mbegu bila kujinadi kama ana sifa za kutosha kugawa mbegu hizo.
matokeo yako ya fomu foo na fomu six yalikuwaje?
Ulikuwa bundi au msuli kitanda?
Sitaki kuharibu mbegu ya ukoo.
Anachezeya JF? Ngoja midume yenye ID na avatar za kike yaingie PM. Siku wanapanga kukutana atakiona cha moto atakapokutana na mabaunsa yanayopenda wanaume wenzao. Huyu Dave huyu.... mi napenda sana huyu Cameroon. Ameleta heshima sana huyu...:confused2:
Naomba mniwie radhi kwa wawe ambao nitawakwaza.
Natafuta mwanamke wa kuzaa nae mtoto mmoja au wawili, asiwe na umri wa zaidi ya miaka 38. Tafadhali kama unahitaji hilo naomba uni-PM. Sababu za hitaji langu na jinsi ya kutunza watoto/mtoto tutafahamishana baada ya kupata PM yako. Pia taarifa zangu binafsi tutajulishana baada ya kupata PM yako.
Naomba mniwie radhi kwa wawe ambao nitawakwaza.
Natafuta mwanamke wa kuzaa nae mtoto mmoja au wawili, asiwe na umri wa zaidi ya miaka 38. Tafadhali kama unahitaji hilo naomba uni-PM. Sababu za hitaji langu na jinsi ya kutunza watoto/mtoto tutafahamishana baada ya kupata PM yako. Pia taarifa zangu binafsi tutajulishana baada ya kupata PM yako.
matokeo yako ya fomu foo na fomu six yalikuwaje?
Ulikuwa bundi au msuli kitanda?
Sitaki kuharibu mbegu ya ukoo.