kwa wanawake tuu please

UNmpotezea tu, kM humuoni vile na huyo shosti mwizi piga chini! kaanza na vitu ipo siku atakuibia na byfriend!
 

eehheheee smile unahitaji nikupumzishe, una vijimambo dah....haya bhana...

Aaaaaah sorry kumbe ni kwa wanawake tuuu, napita....bye!!!
 
iyo no moja daaah kama hakuna vibration je? ahahaaa

haha smile dear,kama aipo unatingisha kama haipo itajitokeza tu,kiuno ndo mambo yote bibi,mradi rusha roho mtu umtoe udenda kwa macho
 
Samahani nimekosea njia! Ila naomba niendelee kidogo .....!!.. uroda. haya majaribu sasa, na adhabu ya kubaka ilivyo kali siku hizi 30 yrs in prison! Tuhurumieni jamani wadada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…