Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Wanawake wa Tanzania, je, umejipanga kugombea nafasi yoyote katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa au Uchaguzi Mkuu ujao?
Ni sababu zipi zinakuchochea kugombea au zinakuzuia?
Ni kweli Wanawake wanaogopa kujihusisha na Siasa au kugombea nafasi za Uchaguzi?
Kwa muda mrefu, kumekuwepo na mtazamo potofu kwamba siasa ni kwa wanaume pekee, lakini wanawake wengi wameonyesha uwezo wa kipekee katika kuleta mabadiliko makubwa kwenye uongozi.
Ni muhimu tushirikiane kuondoa mitazamo hii potofu: Nafasi za kisiasa ni za kila mtu—wanawake na wanaume. Kila mmoja ana nafasi muhimu ya kuchangia katika kujenga jamii yenye usawa.
Kushiriki katika siasa kunatoa fursa kwa wanawake kuongeza kujiamini, kugombea nafasi za uongozi, na kuhakikisha sauti zao zinasikika.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Tufanye nini ili kuongeza ushiriki wa wanawake hasa vijana kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ni sababu zipi zinakuchochea kugombea au zinakuzuia?
Ni kweli Wanawake wanaogopa kujihusisha na Siasa au kugombea nafasi za Uchaguzi?
Kwa muda mrefu, kumekuwepo na mtazamo potofu kwamba siasa ni kwa wanaume pekee, lakini wanawake wengi wameonyesha uwezo wa kipekee katika kuleta mabadiliko makubwa kwenye uongozi.
Ni muhimu tushirikiane kuondoa mitazamo hii potofu: Nafasi za kisiasa ni za kila mtu—wanawake na wanaume. Kila mmoja ana nafasi muhimu ya kuchangia katika kujenga jamii yenye usawa.
Kushiriki katika siasa kunatoa fursa kwa wanawake kuongeza kujiamini, kugombea nafasi za uongozi, na kuhakikisha sauti zao zinasikika.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Tufanye nini ili kuongeza ushiriki wa wanawake hasa vijana kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024