Kwa wanawake: Wanaume tuliowengi tunapenda majibu ya moja kwa moja.

Hapana mkuu nyie mnatupatia mbinu...


Kitakachobakia ni utekelezaji tu.

Kwa hiyo hata kutongoza kwa kujaribu jaribu na kwa utanu umeacha?

Sasa mbona huyu mzee Asprin yeye anaendeleza na kutuharibia?
tafiti znaelekea kuhitimisha kuwa nowadays girls hawapendi kusumbuana barabaran au kwenye just mkaribishe ghetto au mualike dinner...eti ooh....nakupenda x3 ...unarudia ka matangazo ya vifo...u are lost my dear

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu yani mademu wangejua kuchelewa kukubali sio kipimo cha yeye kutokua muhuni wangefaidi sana maana mtu anajichelewesha wee hadi hamu inaisha hata siku akikubali anakua hakusisimui kama mwanzoni
Akikukubalia nawewe unamsomesha udaktari kwenye uchumba.
.Akimaliza unampiga kapost graduate kamoja kisha unatulia.

ABCDEFGHIJKLMNOPQRSTUVWXYZ
 
Mkuu yani mademu wangejua kuchelewa kukubali sio kipimo cha yeye kutokua muhuni wangefaidi sana maana mtu anajichelewesha wee hadi hamu inaisha hata siku akikubali anakua hakusisimui kama mwanzoni

ABCDEFGHIJKLMNOPQRSTUVWXYZ
espy na Shunie hapa hawatakuelewa.

Subiri uone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…