GlorytoGod
Senior Member
- Sep 8, 2012
- 158
- 50
Wanajamvi heshima kwenu,
naombeni kuuliza kuwa kwa mwanamke mwenye bikira anaweza kujisafishaje kama kuna wana jf hapa wameshauri unaweza ukafanya douching ili kuisafisha vizurai k yako?
Na je kuna madhara gani kusafisha k kwa kutumia kidole cha kati labda kwa mtu mwenye fangasi zenye ule uchafu mweupe kama maziwa fresh?
Nitashukuru kwa majibu mazuri
naombeni kuuliza kuwa kwa mwanamke mwenye bikira anaweza kujisafishaje kama kuna wana jf hapa wameshauri unaweza ukafanya douching ili kuisafisha vizurai k yako?
Na je kuna madhara gani kusafisha k kwa kutumia kidole cha kati labda kwa mtu mwenye fangasi zenye ule uchafu mweupe kama maziwa fresh?
Nitashukuru kwa majibu mazuri