angalia mzunguko wako niwa siku ngapi,gawanya mara 2 then toa siku mbili nyuma halafu halafu ongeza siku 2 mbele,kuanzia hizo siku 2 za nyuma mpaka hizo 2 za mbele ndio kipindi cha kupata mimba,mfano mzunguko wako ni siku 28,ukigawa kwa 2 unapata 14,ukitoa 2 unapata 12 ukiongeza 2 unapata 16,unatakiwa kuanza kutafuta mtoto tarehe 12 hata tarae 11 kwa maana inategemea mwanaume atakua ametoa mbegu ya ainna gani kama xx au xy,kwa hiyo unaenda mpaka tarehe 16,kwa hiyo angalia mda wa mzunguko wako halafu ufanye hivyo.