Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Huyo katia kufuli la SolexNamtafuta manengelo tu
Unaongoza kwa 'unafiki'Dahhh...
Pole sana comrade, maana hata mimi ni muhanga mkuu wa hili linalo kusibu.
Yaani tangu nijiunge humu Jf, sijawahi kubahatika hata onetime kupata mawasiliano ya huko PM kwa walimbwende wa humu aiseeee
Kwahio ipo kwa ajili ya kutafuta?! Kwamba ukipata/ukiwa taken unafungaI’m taken hivyo nimeifunga
Sasa nasikia kuna wanaume nao wamefunga PM! Najiuliza nao wanaogopa kutongozwa? Wanatongozwa sana? Wanapigwa mizinga sana? Akili yangu inaniambia ni attention seekers tuNapenda kuwapongeza mmekuwa selection yangu ya kwanza hapa jf.
Kwa muda wote toka nipo jf sijawahi kuangukia pm iliyowazi.
Kuna watu huwa natamani tuzungumze nje na huku jukwaani ila kila nikijaribu kuzama pm nakuta mlango umefugwa.
Selection yangu yote inaangukia lock za pm.
Kwa kweli wote mliofunga pm nawapa pongezi maana mimi ni moja ya fan wenu mkubwa humu Jf.
List ni ndefu niliyoifanyia utafiti huu kuzama pm zao na kukutana na lock.
Nawasilisha
Kichwa Kichafu.
Dada wanasemaga eti ukitokewa kwani huwezi kukataa na kusema ushawahiwa?I’m taken hivyo nimeifunga
KumbeDada wanasemaga eti ukitokewa kwani huwezi kukataa na kusema ushawahiwa?
Pia nasikiaga wengine wanasemaga eti si kila anayekuja huko anakuja kwa ajili ya mtongozo eti hivyo ikaage tu wazi. [emoji1787][emoji1787]
Sina hakika Ndugu yangu. Japo niliona kwenye uzi mmoja huko nyuma baadhi ya members wasiotaka PM zifungwe wakiyasema haya.Kumbe
Duuu hivi kwa akili ya kawaida unaweza kumzimikia so called dada wa JF kwa kuangalia Avatar? Hivi ushawahi panda kwenye daladala za posta mwenge? Kama unataka demu pendelea kupanda magari hayo utaopoa wa ukweli achana na hawa wa kwenye avatar unaweza kukutana na POLYGON.Napenda kuwapongeza mmekuwa selection yangu ya kwanza hapa jf.
Kwa muda wote toka nipo jf sijawahi kuangukia pm iliyowazi.
Kuna watu huwa natamani tuzungumze nje na huku jukwaani ila kila nikijaribu kuzama pm nakuta mlango umefugwa.
Selection yangu yote inaangukia lock za pm.
Kwa kweli wote mliofunga pm nawapa pongezi maana mimi ni moja ya fan wenu mkubwa humu Jf.
List ni ndefu niliyoifanyia utafiti huu kuzama pm zao na kukutana na lock.
Nawasilisha
Kichwa Kichafu.
Sawa maana dunia ina kila aina ya watu inawezekana wengne wakawa wema na wengne wakawa wabaya hapo ndipo panaleta kufungwa kwa PM za watuSina hakika Ndugu yangu. Japo niliona kwenye uzi mmoja huko nyuma baadhi ya members wasiotaka PM zifungwe wakiyasema haya.