Kwa wanawake zaid

Kwa wanawake zaid

vipi ukitumika sana ila kwa mwanaume mmoja tu, utatanukaje wakati mashine saizi yake ni ileile(constant)
Inategemea na size ya huyo mwanaume na pia kamkuta kwenye Hali gani.
Mwanaume mmoja mwenye size ya kawaida ambayo akiingiza inafiti.hata amfanye Kila siku bado itafit.
Lakini akikuta imelegea basi Kuna jambo jingine limechangia.
Zongatia hapo Kuna jambo
We huoni zamani wazee wetu walikua na stara japo kuibiana kulikuwepo lakini haya mambo ya kutukana sijui una kiba100,una shimo Pana hadharani ni sababu ya kukosa ututlivu likija suala la ngono.binti anadate na jamaa plus size wanachana Kwa sababu za kijinga tu,hajipi mda anapata mwingine wiki hiyohiyo analala na mwenye size ya kawaida..huyu anaingia shimo alilokua anafit yule.unadhani atakuja na feedback gani?
Angejipa mda si ingerudi huyu mpya akafit.
 
Ndiooo, kwani ukikaa bondeni mwezi ukarudi kwa mtogole huwa unapakutaje nyumbani kwa wifi?

Heri ya sikukuu 😀
Safari hii nitauliza ,mbona haiko hiviiii 🤏 au mbona iko hiviiii🖖

Asante kwa kunifumbua,no unyonge .

kwako pia rafiki
 
Back
Top Bottom