Habari wanawake wa kibongo,imekua nikituma nyuzi kumsaka mrembo humu nakatishwa tamaa na wanaume kua nimepotea,ila naamini sijapotea kina dada warembo.mimi nina miaka 27 na napenda kua na mwanamke ambaye ni mweupe na awe na hips za kiaina ama black amerika,awe na age kuanzia 20hadi27.Nikimpata namuahidi penzi la dhati na nitakua tayari kwa lolote jema.me ni mrefu,baunsa kiaina,nina kilo98.awasiline na mimi kwa pm.Asanteni warembo.