Pitia vizur tangazo nafasi 14 ni za Askari -wataalamu (wildlife law enforcement officers ) na wanapaswa kuwa na shahada ya wildlife management , hizo 90 ni za askari (rangers) hii unaweza kuomba hata kama hujasomea fani ya wildlife ila unapaswa kuwa na cheti cha form IV na angalau umetumikia jkt sio chini ya Mwaka 1 .Salaam wadau,
Kwa tuliosoma tangazo la nafasi za kazi Tanapa na kulielewa vizuri.
Tafadhali nitofautishie tofauti kati ya post 14 za WILDLIFE LAW ENFORCEMENT na post 90 za WILDLIFE LAW ENFORCEMENT (rangers).
Labda tuanzie hapa, Je wote wanatakiwa kuwa na cheti cha Jkt? Inaongeza advantage?
Je hakuna utaratibu mwingine wa kufanya maombi kwa vijana waliopo katika vikosi vya Jkt wenye sifa ( Op Samia na Op General Venance Mabeyo) Hasa kwenye hizi posts 90 Mbali na ajira portal ?
Ahsante kwa mchango wako.
.
.
Bro apa kama unacheti cha form four na mujibu JKT unaeza kuomba pia?Pitia vizur tangazo nafasi 14 ni za Askari -wataalamu (wildlife law enforcement officers ) na wanapaswa kuwa na shahada ya wildlife management , hizo 90 ni za askari (rangers) hii unaweza kuomba hata kama hujasomea fani ya wildlife ila unapaswa kuwa na cheti cha form IV na angalau umetumikia jkt sio chini ya Mwaka 1 .
Kuhusu cheti cha Jkt kuongeza advantage…jibu ni ndio—kwa sasa TANAPA inaongozwa kwa mfumo wa kijeshi!
Watumishi wanaoajiriwa hata ambao sio rangers wanapitia mafunzo ya utimamu ndo maana kuna kigezo cha umri!
Naam kaka...ni miezi mitatuBrother soma taratibu uelewe. Ameandika wanatakiwa waliopitia jkt na sio chini ya mwaka mmoja. It means jkt ya kujitolea na sio ya mujibu. Nyie wa mujibu si miezi mitatu tu?
Pitia vizur tangazo nafasi 14 ni za Askari -wataalamu (wildlife law enforcement officers ) na wanapaswa kuwa na shahada ya wildlife management , hizo 90 ni za askari (rangers) hii unaweza kuomba hata kama hujasomea fani ya wildlife ila unapaswa kuwa na cheti cha form IV na angalau umetumikia jkt sio chini ya Mwaka 1 .
Kuhusu cheti cha Jkt kuongeza advantage…jibu ni ndio—kwa sasa TANAPA inaongozwa kwa mfumo wa kijeshi!
Watumishi wanaoajiriwa hata ambao sio rangers wanapitia mafunzo ya utimamu ndo maana kuna kigezo cha umri!
Yah ni vizuri pia Ila ninavojua kwa ajira portal as long ana bachelor ya wildlife ambayo ndo kigezo mama na profile yake iko sawa ( picha ameweka, na sehemu zote muhimu amejaza) ni lazima ataitwa kwenye usaili na hapo akipata barua ya JkT akaenda nayo itambeba sana!Kaka ahsante kwa majibu yako. Sasa kuna kijana ana bachelor ya Wildelife na sasa yupo Jkt anajitolea. Kama nimekuelewa vizuri, tayari ana advantage.
Kuna haja ya ku update CV yake na ku acknowledge military training au akiaattach ajira portal barua ya utambulisho kutoka kikosi chacke itamsaidia?
Shukrani sana. Tutamshauri afanye hivo.Yah ni vizuri pia Ila ninavojua kwa ajira portal as long ana bachelor ya wildlife ambayo ndo kigezo mama na profile yake iko sawa ( picha ameweka, na sehemu zote muhimu amejaza) ni lazima ataitwa kwenye usaili na hapo akipata barua ya JkT akaenda nayo itambeba sana!