Aah Roman ni mashine mkuu mimi i love the guy ila kiukwel sikuweza kuamini kama angeweza kumretire Undertaker..Lkn nimeamini he can do anything na ile kauli yake'''''BELEIVE THAT'''Ila ya jumapili dead man alilainika mpaka basi, the big dog yupo vizuri na sasa hivi amewaambia "WWE IS HIS YARD NOW" namkubali huyu jamaa..
Cobain alipigwa na the crayz dean Ambrose kuna stail yake moja hiyo anarudi kwenye kamba anakuwa kama anadondoka akija aunyanyuki ukinyanyuka anakupa DDT moja pambano limeishaIla kuna huyu kijana anaitwa kobain i think a lone wolf alipigana na danny ambrose juzi ana finishing nzuri sana sema siijui jina
spear tamu ilikua ya bob lash hata mkiwa 10 anawazoa wote
ila vicky guererro alipata tabu sana na under taker
chriss jericho alikua ndio mwanangu
Samahani joah hivi kwann vingi unavyopenda namm navipenda???
Ila mm yupo pia Mysterio.
spear tamu ilikua ya bob lash hata mkiwa 10 anawazoa wote
ila vicky guererro alipata tabu sana na under taker
chriss jericho alikua ndio mwanangu
PowerBomb by......
The undertaker alikuwa anatumia staili iliyokuwa inaitwa MSUMARI,
Kumtaja undertaker bila CANE ni sawa na kutaja pilau bila kachumbari,
DX a.k.a D generation, mzee mwenyewe SCHWAN MICHAEL na TRIPLE H huyu jamaa huwa harudi nyuma hata muwe 50,
Napenda sana style za mistaaaaaaaaa kene................... [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] anayejua anisaidia kujaza hapo [emoji115] [emoji115] juu kwenye gap
The undertaker alikuwa anatumia staili iliyokuwa inaitwa MSUMARI,
Kumtaja undertaker bila CANE ni sawa na kutaja pilau bila kachumbari,
DX a.k.a D generation, mzee mwenyewe SCHWAN MICHAEL na TRIPLE H huyu jamaa huwa harudi nyuma hata muwe 50,
Napenda sana style za mistaaaaaaaaa kene................... [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] anayejua anisaidia kujaza hapo [emoji115] [emoji115] juu kwenye gap