Kwa wapenda MIELEKA, leo tutaje WWE FINISHERS na MOVES mbalimbali unazozipenda au ulizozipenda


Hiyo Ya benoit inaitwa Cross Face

Ya Jeff hard ni Swinton Bomb
 
Aah Roman ni mashine mkuu mimi i love the guy ila kiukwel sikuweza kuamini kama angeweza kumretire Undertaker..Lkn nimeamini he can do anything na ile kauli yake'''''BELEIVE THAT'''

You may called him The guy
 
Cobain alipigwa na the crayz dean Ambrose kuna stail yake moja hiyo anarudi kwenye kamba anakuwa kama anadondoka akija aunyanyuki ukinyanyuka anakupa DDT moja pambano limeisha

Hiyo style ya Dean inaitwa Close the Line
 
watu wa fujo ndio walikua wanangu kipindi kile combo ya DX
kisha mr macmen
babu finley
akaja edge na wanae
randy orton akawa kiboko ya mabishoo wote wwe
Ni kweli kipindi ile ukimzingu Rand anakupiga Punt kick na hii style ndio ikampa jina la Viper
 

Hiyo style ya Taker inaitwa Gogo Plaza au Chokko
 

Cm punk yuko vizuri sana, ile mechi lesnar hataisahau alikua ameshapigwa ila Paul Heyman ilibidi aamue mechi
 
jeff hard bishoo la kufa mtu
alikua ananikumbusha jamaa flani hivi alifia ulingoni

Edgolero, JBL hatasahau hiyo siku asee alikua anamechi nae, kibaya alipoanguka akaenda kumpin alilia sana JBL
 
jeff hard bishoo la kufa mtu
alikua ananikumbusha jamaa flani hivi alifia ulingoni

Jeff Hardy na Matt Hard hua ni mapacha eh? Zile stail zao za kumalizia kwa miguu noma
 
Aah Roman ni mashine mkuu mimi i love the guy ila kiukwel sikuweza kuamini kama angeweza kumretire Undertaker..Lkn nimeamini he can do anything na ile kauli yake'''''BELEIVE THAT'''
Usichukulie serious sana ni maigizo tu hayo kama ilivyo Ray akiendesha Vogue na anakaa kwenye jumba la kifahari kwenye bongo movie
 
Suplex cityyyyyyyyyy Brocker Lesner rrrr asee mwanangu ka stafu pia true Gold "Goldberg" See You Again" brother.. Daah the Ded Men.. Goodbye brother too.[emoji26] [emoji26] [emoji26]
 
Usichukulie serious sana ni maigizo tu hayo kama ilivyo Ray akiendesha Vogue na anakaa kwenye jumba la kifahari kwenye bongo movie
Endelea kujidanganya ukipigwa na fagio huji kuoa au kolewa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…