Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
- Thread starter
- #61
Macho man uuuugghu yeahhh... style yake hakuna aliyeiweza hadi Leo... Hata aliyeijaribu... Shane yake ni sawa na ya Jeff ..
Kuna marehemu Chris Benoit alikuwa anakuvuta kichwa huku kakubana..na kabla hajakuvuta anakunja ngumi anakaza mkono. Kisha anainyesha Kama atakaba mtu hivi.. Dah watu wanashangilia..
Hiyo Ya benoit inaitwa Cross Face
Ya Jeff hard ni Swinton Bomb