donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Mbona kazi ya kawaida tu boss
Kuna binti anaitwa phindile kwenye isidingo...huyo haoni ndani
Hahahaaaaa........ilikuwa ngoma ya Nganono hiyo!Salaam wakuu,
Mimi hua ni mpenzi sana wa hizi series za ki sauzi since isidingo, scandal etc.
Sasa kuna hii inayoitwa Imbewu inayooneshwa e.tv ya SA, kuna mdada anaigiza character ya 'Zethu' (jina halisi Nonsie) kwa kweli licha ya uigizaji wake hodari na ulioshika hatamu, hakika pia ni mmoja wa warembo walioumbika ambaye ukibahatika kua naye basi unaweza ukahisi kila utakachokigusa hugeuka almasi.View attachment 1363849View attachment 1363850View attachment 1363851View attachment 1363852View attachment 1363853View attachment 1363854View attachment 1363855
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunatofautiana sana aisee.
Kuna binti anaitwa phindile kwenye isidingo...huyo haoni ndani
[emoji28][emoji28][emoji28] saivi mtoto wa bhengu anakamata jimboHahahaaaaa........ilikuwa ngoma ya Nganono hiyo!
Amerithi kwa kaka yake![emoji28][emoji28][emoji28] saivi mtoto wa bhengu anakamata jimbo
Sent using Jamii Forums mobile app