Kwa wapenzi wa Imbewu : The Seed, huyu Zethu ni pisi kali

Kila mtu na macho yake, mi namwona ni mzuri wa kawaida hata siwezi msimulia kwa watu.
 
Weeeeeh kwan vepeeeeeeeh? Unateseka sanaaaaah? Poleeeeeeeeh kunywa maji mengi, afu relaaaaaaaaaaaaaaaaaaax
Uandishi wako wa siku hizi unachekesha sana. Zile tuhuma kwamba wewe ni chakula zinapata mashiko zaidi lately.
 
Imbewu wazuri wengi sana..
Huyu haingii top 5
Videm vya Yule mwenye shongololo oil cha kwanza kilikuwa kizuri sana na hata cha sasa.
Halafu kuna mmoja alipata mimba ya CEO wa maluju oil ikatoka alikuwa mzuri sana..
Na pale bar kuna wadada wazuri mno mmoja aliliwa na pastor..mzuri mno
 
Huyo manzi ndo type zangu nazopenda,nimemvutia picha nimemweka kitandani,nimemvua nguo,naomba mnisamehe kwa mawazo yangu
 
Uandishi wako wa siku hizi unachekesha sana. Zile tuhuma kwamba wewe ni chakula zinapata mashiko zaidi lately.
Huhuhuhuhuh sasa kwahiyo weeee unaumia? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poleeeeeeeh kakah eeeeeh, relaaaaaaaaaaax
 
Pale baa ndio kuna vinono vingi. Kuna Yule anawekaga nywele zake breach
 
[emoji23][emoji23][emoji23].. Noma mkuu
Huyo manzi ndo type zangu nazopenda,nimemvutia picha nimemweka kitandani,nimemvua nguo,naomba mnisamehe kwa mawazo yangu
 
SA Kuna watoto wazuri. Kuna series moja naifatilia inaitwa Quantico. Yumo Priyanka Chopra humo..Kuna msouth mmoja coloured anatumia jina Dayana mampas, Ni kisu sana, jina halisi pearl Thusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…