Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Usijari Nishaagiza La Asubuhi Subuh Na Nishamaliza sasa Wananidai Nimewaambia Kuwa Kuna Mtu Anatoka Seoul Anakuja Kulipa....Naona Wananitolea Vyombo Niwasaidie Kuosha Wakati Tayri Nishawadekia
Damushin Izi Mambo Zako Siyo Kabisaa..
aigooooo ndio umeenda kula urojo kweli wakati huko kwenu nyanda za juu hata money transfer sysem hakuna,halafu nimesoma taarifa jukwaa la siasa ya kwamba mumepigwa marufuku pindi munapopanda magari ya usafiri musizungumze siasa, dini wala biashara. fanyeni mipango mumshawishi mzee wa chato aangaliae korean drama la si hivyo atawapiga ban musiangalie.
 
Zinavutiaje??
  1. zinakufanya kila wakati utamani kuendelea kuangalia ili upate kufahamu nani ataibuka mshindi.
  2. zinakufanya na wewe mtazamaji uone tukio la kutokupendwa au kupenda kama linakukuta kwenye maisha.
  3. na usiombe muigizaji unayempenda wewe awe ndio hapendwi na mwenzake awe mwanamke au mwanamme utalia na kusaga meno utafikiri ni maisha ya ukweli kumbe wakimaliza kurekodi wanakwenda kula pamoja kwenye mgahawa na unabaki wewe ukiwa na chuki pamoja na povu chafu kama la kufulia nguo za gerezani.
  4. wakati naangalia emperor of the sea ilifika wakati nikiona jang bogo na lady jang hwa wanazungumza basi nilikuwa napeleka mbele, hahahaaaaa povu si la nchi hii. pumbavu zao wakorea.
  5. kwenye boys over flower ndio usisemeee ilifika wakati sijui hata nimpende nani kati ya gu jun pyo na yoon ji hoo.
  6. kwenye fated to love you choi jin hyuk a.k.a daniel alimpenda sana kim mi young mwanzo mwisho kuliko jang hyuk a.k.a lee gon lakini mwanamke akawa hasikii la muadhini wala la mteka maji msikitini kwa kumpenda lee gun, na ile cheka cheka yake ndio kabisaa couple yao nikaichukia.
 
Sa-Sa-Sa (444) anapoelekea pabaya.

Kaanza kuwa na tabia za kibinaadamu na muda mwengine huwa anamuongelea Moo Gang kwa pronoun ya "I" / Naega!
Napenda Pale Anaikataa Hii Hari anayoenda Nayo Wakati Anayofanya Na Yale Yale ya Ubinaadamu,Wivu kwa Ha Ram Kuanza Kuwaonea Huruma Binaadamu Kama Pale Alipoenda Kumsaidia Yule ''My Boss'' Baada ya Kumuonea Huruma...

Kuwa Karibu zaidi ya Ha Ram Mpaka Kuaanza Kumsaidia Baadhi ya Vituu...
 
Hahahahaha, Sstem Ipo Banah Si Kuna Zile Nini Pesa....We Tuma Tuuh, Apa Naona Wanitolea Tena Mchele Niwachambuliee.
 
Apo Kwenye Emperor Of The Sea Nahisi Tulikuwa Wote, Nilitokea Kumchukia Yule Dada Yaani Alikuwa Auoni Kabisaa Upendo Wa Oppa Ye Kakazana Na Yule Tuuh Daah! Apa Kweli Ilinigusaa...
 
kwani jaman huwa zinawekwa muendelezo lini mpaka lini mi nagonjeka na hii money flower
Hii Inaonyeshwa Kila Jumamosi Na Inaonyeshwa 2 episode Kwa Mara Moja,Sa Uangalie Kamili Ikishakuwa Sub Ni Mpaka jpil Au Kuna Site Wao Huwa Zinawah Kuweka Na Sub Unaweza Iyona Iyo Iyo Jmosi...
 
Hii Inaonyeshwa Kila Jumamosi Na Inaonyeshwa 2 episode Kwa Mara Moja,Sa Uangalie Kamili Ikishakuwa Sub Ni Mpaka jpil Au Kuna Site Wao Huwa Zinawah Kuweka Na Sub Unaweza Iyona Iyo Iyo Jmosi...
asante, wacha niisubiri japo kama mbali naona
 
Mm kule kujiongelesha tu na kujifanya serious Kumbe utumbo ndio napenda. Ila yule jamaa tabia za kibinadamu zitamkaa mda si mrefu ata suala la mapenzi naona kaisha anza kulisogeleA
 
Kwenye "Fated to Love You" naizimikia ajabu ile couple ya Lee Gun na Kim Mi-Young.

Yule Daniel sikumpenda hata kidogo. (Mtu hana time na wewe lakini bado unabaki kuwa king'anga'anizi, aaaargh).

Licha ya yote waliyopitia, Mi-Young & Lee Gun were fated to love each other.

Najua hupendi vicheko vyake (Jang Hyuk) ila kwangu bila ya kuwepo hivyo vicheko kwenye dramas zake huwa naingalia hiyo drama ilimradi tu niimalize.

Mapenzi mshikaki ndiyo yalisababisha hadi leo "Boys Over Flowers" sijawahi kuitazama.
Sipendi kabisa kuona couple ninayoizimikia ikivunjika au isiwe kweli kwasababu ya kidudu mtu fulani.
 
Mkuu,
Kuna jina ambalo Black hulitumia pindi akimuita Ha-Ram? Huwa hamuiti kutumia jina lake. Ume-notice hicho kitu?

Damushin,
Sunbae, hebu tusaidie lile jina ni ipi maana yake na linaandikwaje?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka hatari hapo kwa Jang Bogo sunbae sio kwa mahaba hayo na baba Manse.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…