Shaibu Hiwalisi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 603
- 582
kijiji chote wananchi wake ni sheeda tupu, ni mwendo wa kucheka peke yangu kama mgonjwa ninapoiangalia iyo drama.View attachment 877467
Naimani Atachokumbuka Hapa Unaweza Ukaacha Mbavu Chini.
Hii Drama Ni Daebak!
D.O Umu Ndani Ni Kacheza Unaweza Cheka Wewe Yeye Hata! Acha Walipwe Vizuri Wanastahiri
Oooh! Chozi
Daebak!
Eeh Mola Wangu!
Unajua Tabasamu la Kicheko na Chozi!
Aksante Ma Lovely Friend.
Kiukweli Ntaja Siku shusha Gazetii Umu.
Ila Wewe Pia Ni Mmoja Kati Yawanjf Mlo Ndugu Kwangu! Maandishi na Jf Imefanya Tufahamiane Ivi InshaAllah itajakuwa Zaidi.
Sante Tena na Tena Kwa Hili.
Ubarikiwe Zaidi!
Na Nishuklani kma upo Salama Maandishi Yalinishitua.
kijiji chote wananchi wake ni sheeda tupu, ni mwendo wa kucheka peke yangu kama mgonjwa ninapoiangalia iyo drama.
uyo baba mlezi nayeye ana vituko kuliko uporo wa juzi.
kuna scene moja bwana won deuk alimkaribia mke wake kama anataka kumbusu basi akaahirisha kumbe baba mlezi alikuwa anashuhudia lile tukio.
hahahahahahahahaaaa baba mlezi akachukia sana kile kitendo.
wajinga sana hao watu wawili.
Ila Hii nyimbo Usiifute!nimeona nikujibu kwa njia hii siku ya leo na pindi nitakapopata maneno rasmi ya kukujibu basi nitaifuta comment hii,
Terius Behind Me ndo Naisubilii Kwa Hamuu Sanaa!10 New Dramas To Grab Your Attention This FallMonday-Tuesday dramas
View attachment 879114
Wednesday-Thursday dramas
- “Where Stars Land”: itazungumzia hadithi ya watu wawili wenye tabia na mfumo wa maisha tofauti. kwa ufupi lee jo hoon na mwanadada chae soo bin ndio waongozaji wakuu wa project hii, wote kwa pamoja wanafanya kazi Incheon International Airport. Lee jo hoon ni mfanya kazi asiyependa kujichanganya na wenzake. drama hii itaanza kuonyeshwa (1/10/2018) na kupitia kituo cha SBS.
- Bad Papa: action drama itakayoongozwa na jang hyuk sunbae, maisha yake amekulia kama mpiganaji wa ulingoni, changamoto za kimaisha zinapelekea jang hyuk kubadili mfumo wake mzima wa maisha kwa dhumuni la kuwa baba bora.drama hii itaanza kuonyeshwa (1/10/2018) na kupitia kituo cha MBC.
- “The Greatest Divorce,” : je ndoa ndio mwisho wa mapenzi kati ya wawili? tumeshuhudia mara nyingi sana pindi wawili wapendanao wanapoamua kufunga ndoa vitendo vingi walivyokuwa wakivifanya mwanzoni hawaviendelezi tena.Humu ndani waigizaji wakuu ni cha tae hyun sunbaenim na mwanadada bae doo na ahjumma mtarajiwa, ni remake drama ya kijapani inayoitwa “Matrimonial Chaos. drama hii itaanza kuonyeshwa (1/10/2018) na kupitia kituo cha KBS.
View attachment 879115
Friday-Saturday
- “Terius Behind Me” :Ni drama yenye maudhui ya kijasusi ndani yake, itazungumzia maisha ya single mother na jirani yake pamoja na former spy agent ambapo kwa pamoja wanajikuta wanashirikiana kutatua siri. So Ji Sub, Im Se Mi na jung in sun ndio waongozaji wakuu wa drama.Itaanza kuonyeshwa September 27, 2018.
- “Heart Surgeons,” ni medical drama itakayozungumzia maisha ya madaktari wa upasuaji wanaokutana na changamoto zenye kukatisha tamaa kupitia maisha yao ya kila siku. na Itaanza kuonyeshwa September 27, 2018.waigizaji wakuu ni goo soo, uhm ki joon na seo ji hye
- “The Smile HasLeft Your Eyes,” : Seo In Guk ni mtuhumiwa wa mauaji ya mwanafunzi wa chuo kikuu huku upande wa pili mwanadada Jung So Min anatokezea kumpenda seo in guk na kibaya zaidi kaka jung son min ndiye detective anayehusika na upelelezi wa tukio la mauaji ya mwanafunzi. unadhani ni ipi khatma ya kimapenzi kati ya wawili hao?. itaanza kuonyeshwa (3/10/2018)
View attachment 879116
HIZI NI BAADHI TU YA UPCOMING DRAMA NA INAONEKANA VIKI NDIO WENYE HAKI MILIKI YA KUWEKA SUBTITLE NDIO MAANA MTANDAO WA SOOMPI WAMEZIPA KIPAO MBELE.
- “Room No. 9,” : itakapomaliza drama ya mr sunshine itafuata project hii, hahahahaaaaa ni drama itakayozungumzia maisha ya wanawake wawili ambao maisha yao yanabadilika ghafla baada ya kukutana kwa siku ya kwanza kwenye chumba namba 9 kilichopo gerezani.Kim Hee Sun ni mwanasheria na kim hae sook ni mtuhumiwa aliyehukumiwa kifungo cha maisha, tukio la ajabu linawatokezea wawili hao ambapo wanajikuta sura zao zinabadilika, nakumbuka nilitoa mfano sura ya Damushin ambaye ni masikini aliyepitiliza kiwango cha world bank inabadilika na kuwa sura ya bakhressa na huku upande wa pili sura ya bakhressa inabadilika na kuwa sura ya damushin.Aigooooo hawa wakorea watasababisha matajiri wakatae kukutana na masikini wakihoofia kubadilika.Chezea pesa ila usichezee umasikini.
- “The Third Charm” : love story kati ya seo kang joon na mwanadada esom ambapo wanajikuta wanapitia vipindi vinne vya mahusiano ya kimapenzi kwa miaka 12, miaka 12 wanasoma tabia niwape hongera kwa hilo, itaanza kuonyeshwa ijumaa hii ya september 28.
- The player : con artist 3 waliobobea kwenye dili za utapeli wanapoamua kusaka fedha kwa kila njia, humu ndani stariing ni song seung hun, krystal na lee si on.itaanza kuonyeshwa september 29 kupitia kituo cha OCN.
Drama nyengine zitakazoanza kuonyeshwa ni pamoja na
View attachment 879111
- Dae Jang Geum is Watching: hii hadithi yake inazungumzia kizazi cha mwanadada dae jang geum yuleee wa kwenye jewel in the palace, hao ndugu watatu wanapenda kula kuliko samaki.itaanza kuonyeshwa october 4.jamani bongo movies hata stori kama hizi zinatushinda? wabongo munapenda kula ugali si mutengeneze project ya kusifia ugali na samaki wa maji baridi
- The Beauty Inside : humu ndani mutakuwa na mwandada anayejibadilisha sura yake kila mwezi. itaanza kuonyeshwa october 1.
View attachment 879110
hizi drama zote ni za mwezi october tu, bado november, december.
uangaliaji wa korean drama kupita kiasi ni hatari kwa afya yako
bado namtafuta yule aliyesema ameangalia drama zote za wakorea
kwani haendi chooni?
Kill me Heal meMimi ni mpenzi sana wa hizi drama za kikorea na nimeshatazama nyingi tuu pengine kuliko hata wewe msomaji wa uzi huu. Leo nikifahamishe tuu Drama au Series 10 zilizo nivunja mbavu ama kunifanya nicheke kila episode ni hizi hapa!(sijapangilia kinamba)
1. ROOFTOP PRINCE
(Humu ni full vituko)
2. COME BACK MISTER
(Inachekesha na kuhuzunisha pia)
3. YOU WHO CAME FROM THE STARS
(Dah! Yule dada Ji Hyun ni chizi)
4. I CAN HEAR YOUR VOICE
(Nimecheka sana!)
5. COFFEE PRINCE
(Vituko mwanzo mwisho)
6. SUSPICIOUS PARTNER
(Uandae mbavu za spea)
7. THE LEGEND OF THE BLUE SEA
(Jun Ji Hyun na Lee Min Hoo ni shida)
8. MASTER'S SUN
(Itafute)
9. SHINE OR GO CRAZY
(Vituko vya Prince Wang So)
10. WHAT HAPPENS TO MY FAMILY?
(Inafurahisha na kuhuzunisha pia)
Zipo nyingi ila hizo ni shida hasa kama unajuajua Basic Korean! Ongeza na zako!
Anaitwa Jun Ji Hyun. Ni chizi huyo dem aiseeThe legend of the blue sea ni shida yule demu mshamba sana aiseee
Daebak! Ongeza bidii mkuu!Lol!
anyohaseyo, urotashimika!!!
NAJIFUNZA KIKOREA MWAKA WA TATU LEO LAKINI SIELEWI MISAMIATI KWANINI?
Demu anachekesha sana eti anamsubiria jamaaa masaaaAnaitwa Jun Ji Hyun. Ni chizi huyo dem aisee