This time tunaangalia drama moja kwa wakati mmoja...mpaka sasa nimeipenda naamini itakuwa na mwisho mzuri.leo asubuhi nimeanza kuiangalia nimependa chemistry yao kati ya song joong ki na song hye kyo.baada ya miezi kama sita ndio drama yangu ya kwanza leo nimeanza kuangalia ambayo ni ya mjini
Nazipataje hizo movie ulizoziorozesha hapo mkuuBaada ya kutoa drama A MAN CALLED GOD 2010, alitoa DETECTIVES IN TROUBLE 2011, alitoa tena movie yaitwa ENTANGLED 2014.
Lakini waweza pia muangalia kwenye THE RETURN OF SUPERMAN ya 2013 ambayo aliact na watoto wake mapacha wa 3.
Mamaaa huyo ni shemeji yako, yani Song joong-ki na Lee min-ho ni mashemeji zenu Nifah,Nimeianza na nimeipenda sana just fell in love with song joong ki, super smart kazini, na romantic haswa. Nikimaliza nitatafuta hii uliyoniambia....halafu nimependa kikosi cha special force walivyo na umoja.
Kuna wadau hapo juu wametoa link jinsi ya kuzipata korean dramas zote, jaribu kupitia.Nazipataje hizo movie ulizoziorozesha hapo mkuu
Wameachana, penzi lao limekua na kizungumkuti ila hawataki kujionesha moja kwa moja kua wameachana kwa sababu zao binafsi...Kuna taarifa za chini ya kapeti zinasema lee min ho na bae suzy wameachana ila juzi wamekanusha, na pia kuna taarifa za song joong ki na na song hye kyo wana mahusiano na walikuwa pamoja marekani.
View attachment 375772
Na licha ya yeye kua busy sana kiasi cha kushindwa kuendelea kushiriki lakini pia watoto wamekua wakubwa ndio mana ikabidi waache.unajua tokea song il kook alipoacha kushiriki kwenye episode ya 116 ile show imepungua rate yake ya kuangaliwa.
Hahaha mimi hao nawakubali sana lkn nataka nipeleke posa kwa Kang ji-Hwangs...sasa lee min ho itabidi upambane na suzy bae kweli kweli..Mamaaa huyo ni shemeji yako, yani Song joong-ki na Lee min-ho ni mashemeji zenu Nifah,
Msiwapende [emoji19] [emoji19]
Too bad! Walikuwa wanapendezeana...lee min hoo inawezekana ni pasua kichwaWameachana, penzi lao limekua na kizungumkuti ila hawataki kujionesha moja kwa moja kua wameachana kwa sababu zao binafsi...
Song joong ki na Song hye kyo hakuna kinachoendelea ni mashabiki tu wanapenda kuzua ila yes walikutana New York Hye kyo alienda kufanya shopping na rafiki zake, wakala chakula pamoja na kushare picha.
Niletee picha ya kang ji- Hwang tafadhalibasi tafuta flower in prison
Paka mwaka huu Iris is the bestNiliipenda IRIS sijawahi kuona mfano wake
Suzy kishapigwa chini tayari, sema tu haamini kama ameachwa...Hahaha mimi hao nawakubali sana lkn nataka nipeleke posa kwa Kang ji-Hwangs...sasa lee min ho itabidi upambane na suzy bae kweli kweli..
Yani Lee ni kama yule kijana "Almasi" wa kwetu bongo, wanawabadili tu labda na yy akipata jimama atatulia, teh teh tehToo bad! Walikuwa wanapendezeana...lee min hoo inawezekana ni pasua kichwa
basi tafuta flower in prison
Kumbe ulikuwa unamuulizia huyu Hong Gil Dong?Niletee picha ya kang ji- Hwang tafadhali
huyu jamaa namkubali sana ila nilishangaa sana baada ya kushindwa na Song Il kook katika tunzo zile za kbs tv awards za mwaka 2008 mashabiki wengi walilalamika mpaka kufikia kusema song il kook hakustahili tunzo ya best actor(daesang awards) kumbuka 2008 jamaa alicheza tamthilia ya HONG GIL DONG na Song Il kook alicheza KINGDOM OF THE WIND.kang ji hwan alishinda tunzo mbili na song il kook alibeba tunzo tatu
Umenichekesha na kunifikirisha nikajiuliza almasi ni nani bdae nikapata jibu...inaonekana Lee anaonekana anakimbiza sana sasa si atakusumbua kwanini nisikupe Kim Soo-hyun? Ukifika wakati wa posa nitakutaarifu kaa mkao..Suzy kishapigwa chini tayari, sema tu haamini kama ameachwa...
Naomba nikusindikize kwenye kutoa posa kwa Ji Hwang.
Yani Lee ni kama yule kijana "Almasi" wa kwetu bongo, wanawabadili tu labda na yy akipata jimama atatulia, teh teh teh
Song namkubali sana lkn bado Kang kwangu ni zaidi...nadhani mashabiki wengi walikuwa na mtazamo kama wangu.
huyu jamaa namkubali sana ila nilishangaa sana baada ya kushindwa na Song Il kook katika tunzo zile za kbs tv awards za mwaka 2008 mashabiki wengi walilalamika mpaka kufikia kusema song il kook hakustahili tunzo ya best actor(daesang awards) kumbuka 2008 jamaa alicheza tamthilia ya HONG GIL DONG na Song Il kook alicheza KINGDOM OF THE WIND.kang ji hwan alishinda tunzo mbili na song il kook alibeba tunzo tatu