Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Sunbae kuna kituo cha televisheni kinachoonesha kdrama?
 

Ilikuwa Capital na ITV zamani TBC nao wakajaribu 2014 siku hizi hata sijui maana si tumeondolewa channel za kwetu? (Local channels)

DSTV nilishawapa maoni mara nyingi lakini hawafanyakii kazi, wana kazi ya kutujazia machaneli ya hovyo ya Kichina ilhali wangeweka hata channel 1 tu ya Kikorea inayoonesha drama ingewabust sana maana watu wameamka sana na drama zetu hizi pendwa.
 
Basi juzi kuna mtu nimebishana nae alikuwa anaangalia wachina kwenye king'amuzi cha startimes ye kakomaa ni wakorea, nikamwambia hawa sio wakorea ni wachina akakomaa ni wakorea nikasema ok
 
Basi juzi kuna mtu nimebishana nae alikuwa anaangalia wachina kwenye king'amuzi cha startimes ye kakomaa ni wakorea, nikamwambia hawa sio wakorea ni wachina akakomaa ni wakorea nikasema ok

Huyo hawajui Wakorea, ukiwajua Wakorea wanavyoongea unaweza kabisa kuwatofautisha na Wachina.
Hata hivyo hawafanani sana...poleeee [emoji23][emoji23]
 
Huyo hawajui Wakorea, ukiwajua Wakorea wanavyoongea unaweza kabisa kuwatofautisha na Wachina.
Hata hivyo hawafanani sana...poleeee [emoji23][emoji23]
Mimi drama yoyote nikitupia tu macho hivi hasa historical najua tu hii ni Korean au sio. Alikuwa anaangalia zile walizowekewa maneno ya kiingereza sio kichina chenyewe
 
Mimi drama yoyote nikitupia tu macho hivi hasa historical najua tu hii ni Korean au sio. Alikuwa anaangalia zile walizowekewa maneno ya kiingereza sio kichina chenyewe

Yeah, siku hizi nao wana series zao kama Wakorea tena zinafanana sana.
Wewe uko kama mimi, sichukui hata dakika 1 najua ni Wachina.
Ila sasa sizipendi hizo series zao maana hazina uhalisia michosho tu.
 
Hawa wana nini? Kuna drama wamecheza pamoja? Nampenda sana huyo baba mkwe jamani
 

Mimi nimepumzika kuicheki, nataka siku nikiiangalia naiangalia wiki nzima.
 
Yeah, siku hizi nao wana series zao kama Wakorea tena zinafanana sana.
Wewe uko kama mimi, sichukui hata dakika 1 najua ni Wachina.
Ila sasa sizipendi hizo series zao maana hazina uhalisia michosho tu.
Wa-Thailand pia niliona drama yao moja inaita Brothers ipo quality sana.
Miye drama za awali za kichina nilizowahi kuziona ni Master of Tai chi, 7 swordsmen, Stranger hero, Lift in the sky, Destiny to love,Arrow n.k but drama yao niliyoona iko poa zaidi ni A fist within Four walls kwngu hii niliipa *5 na ilikuwa drama bora ya mwaka 2016.
Hahaha mwambie huyo kuna tofauti kati Jeoun Achimieyo na Zhang xhang hao.
 
Huyo mzee upande wa kushoto si alitunzwa kama mwigizaji bora wa Drama ya Jeong do jeon. Alichorwa kama Lee Songgye.
 
Ramadhan Kareem Kwako Pia Chingu....

Inabidi Twende Lakini Sidhani!
 

Hivi kwanini Unamaneno Ivyiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…