Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Mi Taelha Nimempenda! Kujiamini Kwake tu..
 
Kipi Kikunukishacho Chingu!?
huwezi amini huu utani wa kunipa heshima ya ugenius bado haujanivutia my friends, hii heshima ulionipa ni kubwa sana na nisingependa uendelee kunipa heshima hiyo (nitafutie heshima nyengine).

genius: an exceptionally intelligent person or one with exceptional skill in a particular area of activity.
synonyms: brilliant person, mental giant, mastermind, Einstein, intellectual, intellect, brain, highbrow, expert, master, artist, polymath; More
=============================================================================================
hizi sifa zote hapo juu najiona sina labda ni kwa sababu baadhi ya binadamu hatujioni ubora wetu, kama ni hivyo pengine upo sahihi waniona ni genius from kolomije.

ila nimependa haya maneno yako "Ila U Genius Ni Mbali na Kuishia Kidato Cha Nne"
teh teh teh sijachukia mpendwa wangu usije ukajibebesha wasiwasi bureeee nafsini mwako.

mimi ni miongoni mwa wanadamu wanaochelewa kuchukizwa na jambo, hivyo basi nitanie mpaka uchoke wala sitopandishi presha
 
Apo Kwenye “Nitania Mpaka Uchoke” 😂 Naona Umenipa Rungu Na Kichwani Umenyoa Lol!

Pokea Sifa Izo! Ukue Nazo, Zinaweza Ongeza Kitu..
 
anafanana na wewe kisifa?
Ye Mzuri Sana..

Kisifa Sidhani! Labda Anaeniona Aniambie

Huwa Napenda Mwanmke Anaesimamia Msimamo Wake! Hayumbishwi! Kila Anachoona Kwake na Kwa Wanaomzunguka Kina Tija Ndo Hufanya, Hua Namfurahia Sana!

Kwa Taelha Nimekubari Misimamo Yako Japo Haijaoneshwa Sana!

Ila Ji-Min ndo Ananikosha Sana
 
Apo Kwenye “Nitania Mpaka Uchoke” 😂 Naona Umenipa Rungu Na Kichwani Umenyoa Lol!

Pokea Sifa Izo! Ukue Nazo, Zinaweza Ongeza Kitu..
kwa hivyo nimeshajiingiza kambi ya jeshi bila ya ruhusa?
 
Iyo Search Bado Sijaiona!

Ila Izo Mbili Acha Kabisaa. Usiku Wa j5 Hua Nakesha
itafute hutojutia humo ndani, stori yake ni ushindani wa makampuni mawili makubwa yanayojishughulisha na utoaji wa huduma za mtandaoni (search engine) kama vile google, bing n.k

waigizaji wakuu ni wanadada watatu pamoja na jang ki yong


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…