Uwanja Wa Mpira Hauna Pande Mbili Tuanzie Apomistari ya uwanjani naomba maana yake pia sababu gani iliopelekea uwanja ugawanywe pande mbili
ukiwa mnene utakimbiwa kwa sababu muonekano wako utachukiza kwenye camera.Korea Ukiwa Bonge Ni Mtihani Hasa Kwa Hawa Celebrity
mbona umepigwa mstari mrefu unaotofautisha upande wa kulia na kushotoUwanja Wa Mpira Hauna Pande Mbili Tuanzie Apo
Kwenye uwanja wa Mpira kuna Mstari Mfupi!?mbona umepigwa mstari mrefu unaotofautisha upande wa kulia na kushoto
na Hiyo Miili Midogo Bado Wanaipunguza Tena Ukiliona Tumbo Ni Kama Ubao Wa karata! Anhaukiwa mnene utakimbiwa kwa sababu muonekano wako utachukiza kwenye camera.
halafu asilimia kubwa ya wachina wana miili midogo tofauti na watu weusi
ahsanteKwenye uwanja wa Mpira kuna Mstari Mfupi!?
jamii ya wachina wana uwezo wa kula kilo nzima kwa wakati mmoja na wasionyeshe dalili yoyote kupitia tumbo.na Hiyo Miili Midogo Bado Wanaipunguza Tena Ukiliona Tumbo Ni Kama Ubao Wa karata! Anha
Eeeh Kilo Zima Duuhjamii ya wachina wana uwezo wa kula kilo nzima kwa wakati mmoja na wasionyeshe dalili yoyote kupitia tumbo.
pumbavu zao wajinga wale
First of all, we express regret at greeting you due to unfortunate news.
We are also working on fully understanding the incident that occurred recently. We realize the severity of this matter and feel responsibility for not managing our actor thoroughly. Hence, we will work to improve our management so an incident like this does not occur again.
However, we feel cautious about commenting as the police investigation is ongoing and the investigation results have not been announced yet.
In addition, as the victims are staff members that we work with, we ask for your understanding in being cautious about releasing a statement also for the protection of the two individuals.
Kang Ji Hwan will cancel all scheduled activities and diligently cooperate with the police investigation.
We once again sincerely apologize for causing trouble to many people due to this unfortunate incident.
Hahaha bado namkubali kiaina ila nae aoe sasa umri unasonga ona sasa anaanza kupiga matukio ya ajabu! Ni jana nimemaliza children of a lesser God haikunikamata kihivyo, sauti yake pia huwa hainivutii ila namkubali sana.Actor Kang Ji Hwan Arrested For Sexual Assault
style mpya ya uwasilishaji taarifa kutoka kwangu kwa sababu watanzania munapenda simulizi za ukweli zenye kuwasilishwa kwa njia ya utani
kwa mujibu wa ubuyu wa bi fatuma maringo:
bwana kang ji hwan alirudi nyumbani kwake usiku akiongozana na wasichana wawili ambao ni waajiriwa wa management inayomsimamia kikazi (si mnanuja tabia za wakorea hawatosheki na kinywaji pendwa)
wakanywa weeee mpaka bwana kang akapitikiwa na taarifa za mbuga kuu ya wanyama kuhamishiwa chato (akaingia chumba walicholala wasichana na kuanza kumfanyia vitendo viovu mrs kulala unono pamoja na mrs kulala vizuri, huyu mrs kulala vizuri hakufikia hatua kubwa sana ya kuhamishia mbuga (indecent assault))
asubuhi yake mrs kulala unono akampigia simu rafiki yake anayeishi mji wa seoul na kumuhadithia mkasa mzima na akamuomba awapigie simu polisi waelekee sehemu ya tukio (nyumbani kwa bwana kang beberu mwitu)
walipofika kituo cha polisi bwana kang alisema ni kweli jana usiku nilikunywa lakini sikumbuki chochote kilichotokezea baada ya hapo, sielewi nimefikaje kwenye chumba alicholala mrs kulala unono.
jeshi la polisi wataendelea kumuhoji tena bwana kang ji hwan ili wapate kufahamu ukweli wa tukio zimaaaa la kupatwa kwa celebrity kutoka chato.
Prishaz noona bado unaendelea kumuwaza huyu mchumba uchwara anayeshindwa kutofautisha kati ya juisi ya embe na juisi ya ngano?
aminas chingu hivi una wachumba wangapi vilee
Khantwe na huyu pia wa kwako? najua utamkana kama bwana yule alivyomkana yesu kristo
Nifah huyu hajawahi kuwepo kwenye list ya kumrithi baba daehan?
View attachment 1150593
lakini si ulimkataa alipotuma ofa kwako?Hahaha bado namkubali kiaina ila nae aoe sasa umri unasonga ona sasa anaanza kupiga matukio ya ajabu! Ni jana nimemaliza children of a lesser God haikunikamata kihivyo, sauti yake pia huwa hainivutii ila namkubali sana.
Hivi Daemusin kwanini hunisomi kwa utulivu? Kigezo cha sauti kilimwangusha, niambie drama yake kali mimi nilimkubali zaidi kny lie to me, kuna kali zaidi?lakini si ulimkataa alipotuma ofa kwako?
pengine stress za kukataliwa na msichana kutoka kolomije city zimemfanya awe chapombe
duh mianhae mianhaeHivi Daemusin kwanini hunisomi kwa utulivu? Kigezo cha sauti kilimwangusha, nope drama yake kali akiyocheza mimi nilimkubali zaidi kny lie to me, kuna kali zaidi?
Hahaha Kwa hiyo miguu ya chupa ya bia wewe wala haikushtui!?duh mianhae mianhae
dah kweli binadamu tunatofautiana kimtazamoππ
mjinga mimi nikikutana na msichana jambo la kwanza namuangalia miguu yake ilivyo, kama nikimkuta ana miguu kama ya ndovu hata salamu yake naitikia kisiri siri (banter)
kumbe kuna mwenzangu amempiga KO celebrity kwa sababu hajafurahishwa na sauti yake
πππ
Actor Kang Ji Hwan Arrested For Sexual Assault
style mpya ya uwasilishaji taarifa kutoka kwangu kwa sababu watanzania munapenda simulizi za ukweli zenye kuwasilishwa kwa njia ya utani
kwa mujibu wa ubuyu wa bi fatuma maringo:
bwana kang ji hwan alirudi nyumbani kwake usiku akiongozana na wasichana wawili ambao ni waajiriwa wa management inayomsimamia kikazi (si mnanuja tabia za wakorea hawatosheki na kinywaji pendwa)
wakanywa weeee mpaka bwana kang akapitikiwa na taarifa za mbuga kuu ya wanyama kuhamishiwa chato (akaingia chumba walicholala wasichana na kuanza kumfanyia vitendo viovu mrs kulala unono pamoja na mrs kulala vizuri, huyu mrs kulala vizuri hakufikia hatua kubwa sana ya kuhamishia mbuga (indecent assault))
asubuhi yake mrs kulala unono akampigia simu rafiki yake anayeishi mji wa seoul na kumuhadithia mkasa mzima na akamuomba awapigie simu polisi waelekee sehemu ya tukio (nyumbani kwa bwana kang beberu mwitu)
walipofika kituo cha polisi bwana kang alisema ni kweli jana usiku nilikunywa lakini sikumbuki chochote kilichotokezea baada ya hapo, sielewi nimefikaje kwenye chumba alicholala mrs kulala unono.
jeshi la polisi wataendelea kumuhoji tena bwana kang ji hwan ili wapate kufahamu ukweli wa tukio zimaaaa la kupatwa kwa celebrity kutoka chato.
Prishaz noona bado unaendelea kumuwaza huyu mchumba uchwara anayeshindwa kutofautisha kati ya juisi ya embe na juisi ya ngano?
aminas chingu hivi una wachumba wangapi vilee
Khantwe na huyu pia wa kwako? najua utamkana kama bwana yule alivyomkana yesu kristo
Nifah huyu hajawahi kuwepo kwenye list ya kumrithi baba daehan?
View attachment 1150593