Naona kila PM inayoingia labda umechanganya madesa wewe
Huyu kijana anataka kunidanganya hapaHahahah bora umemwambia ukweli.
Nimeliona neno 'ya' hapo kwenye swali lako na kutokana na hilo neno nafikiri unahitaji kutajiwa au kupewa jina la Project 'Moja' tu ambayo ipo juu (juu zaidi) kuliko nyingine zote katika ulimwengu wa Series hususan 'Drama' za Kikorea.Series gani Kali ya mdawote?
Ina episode ngapi bossNimeliona neno 'ya' hapo kwenye swali lako na kutokana na hilo neno nafikiri unahitaji kutajiwa au kupewa jina la Project 'Moja' tu ambayo ipo juu (juu zaidi) kuliko nyingine zote katika ulimwengu wa Series hususan 'Drama' za Kikorea.
Hilo swali (tukiacha utani) ni gumu sana kulijibu na liko 'Very Limited' ila pamoja na hayo nitajitahidi kulijibu kama ifuatavyo;
Katika utafiti wangu nilioufanya nikizingatia pia vigezo na mawazo ya watazamaji wengine na pia bila kusahau mitazamo ya wadau kutoka vyanzo mbalimbali, nadhani hii hapa chini inaweza kuwa jibu la swali lako;
- Jewel In The Palace
Sababu zipo nyingi sana kuitaja hiyo 'Drama' hapo juu ikiwemo jinsi gani ilivyoweza kujizolea umaarufu mkubwa Duniani Waingereza wanakuambia; International Hit, Drama ambayo imerushwa na vituo mbalimbali vya runinga zaidi ya nchi 90 Duniani. Si mchezo!
Pia hiyo 'Drama' ni moja ya chanzo kikubwa cha 'Utamaduni' wa Kikorea kuenea nchi mbalimbali Ulimwenguni bila kusahau pia nchi moja 'maarufu sana' inayofahamika kama 'Dona Kantre' iliyopo kule Kusini mwa Jangwa la Sahara.
Nadhani nimekujibu swali lako.
Ina 'Episodes' 54. Pia jina lake jingine ni Dae Jang Geum.Ina episode ngapi boss
Daah ndefu sanaIna 'Episodes' 54. Pia jina lake jingine ni Dae Jang Geum.
Ni kweli.Daah ndefu sana
Kwa upande wangu, mimi si mtumiaji wa hiyo Application.habari waheshimiwa Mimi natumia simu kudownload series za kikorea na tumia app ya dramania ila siku hizi haukubal kudownload episodes tatizo ni nini et?
Jarbu kwengine mkuu haina haja ya kuumiza kichwa.habari waheshimiwa Mimi natumia simu kudownload series za kikorea na tumia app ya dramania ila siku hizi haukubal kudownload episodes tatizo ni nini et?
Hahaha...basi nikajua hadi wachina,ila mie nataka kujaribu kufuatilia drama moja hivi inaitwa Fake affair ni Jdrama wajapan.umeninukuu vibaya bwana uhuru jr.
sijawahi kuangalia tamthilia zinazotengenezwa na wachina
Baba Swalehehabari waheshimiwa Mimi natumia simu kudownload series za kikorea na tumia app ya dramania ila siku hizi haukubal kudownload episodes tatizo ni nini et?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kimya chenu kinanikera, ina maana kuna mtu mwenye assignments ngumu kuliko miye?!
Episode 200 + Episode 158
Lakini bado nahudhuria humu.
'Ubize' nao umekuwa mwingi kiasi cha kuwafanya wadau waonekane kama wamepotea kambini na huenda wakarejea kundini pale 'ubize' utakapopungua.Kimya chenu kinanikera, ina maana kuna mtu mwenye assignments ngumu kuliko miye?!
Episode 200 + Episode 158
Lakini bado nahudhuria humu.
Haaha Upo huko ndani na Kina mdada yule( Lady Ki) alikuwa jeuri sana.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi nipo na Empress Ki sehemu ya tisa si unajua mimi ni mtu wa nyuma nyuma sana mpaka nyie msifie kwanza ndo mimi nafuatilia baadae
Kwa hiyo usijali mkuu tupo pamoja japo na mimi nakereka pia kwa ukimya huu
Kweli kabisa, ubize katika masula mbali mbali una chagiza.'Ubize' nao umekuwa mwingi kiasi cha kuwafanya wadau waonekane kama wamepotea kambini na huenda wakarejea kundini pale 'ubize' utakapopungua.
Wengine pia huenda wamejipa 'likizo' kutokana na baadhi ya Projects walizokuwa wakizifuatilia kusimama kwa muda na huenda wakarudi kundini pale Projects hizo zitakaporejea hewani.
Kimya kingi kina mshindo mkuu!
Kajeuri kweli liprince Togon sijui lilimchukuaje maana lilikuwa boya sana au ndo yale yale wanawake hatujuagi huwa wanapenda nini kwetuHaaha Upo huko ndani na Kina mdada yule( Lady Ki) alikuwa jeuri sana.