Hizo ni za mapigano mkuu..!?Cheki na hizi
1. Six flying dragons
2. Strongest chill woo
3. Dance in the sky
4. Jeongsil
Ni za mapigano panga zinapigwa hatari mkuu,am sure you won't be disappointedHizo ni za mapigano mkuu..!?
Hizo zote sijaziona..!Ni za mapigano panga zinapigwa hatari mkuu,am sure you won't be disappointed
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mambo ya ajabu eti maadui wanakaa wanakula na kunywa wanapojiandaa kupigana...hakuna mambo ya kuviziana. Ila mi nilichukia bhana kwa nini yule mtoto hendsam walimpa nafasi mbaya ile?Team Song Il Gook oyeeeee?
Damushinmuhyool nimekupendaje kwa maelezo yako?
Nimepata burudani kubwa sana asubuhi hii...ubarikiwe.
Nimependa ulipoigusia Baek Dong Soo...ile kitu ni shida!
Panga linalotembea kule sio la kitoto.
Napenda pale yule mnafiki alipokatwa kidole na Geumwa (Jina alilotumia mhusika ktk Jumong)
Hii historical drama ni ya ukweli sana,maadui wanafanyiana fair kama akizidiwa anamuachia mwenzie akaonane na 'le mbebez'...lol
Wazee wameonesha uwezo mkubwa sana wa martial arts.Chaulevi (Sky Lord)nae sio haba.
Nilisikitika yule master wa wale (akina Baek Dong Soo)watoto alipouawa walipovamiwa usiku!
Dah...
Hii drama niliicheki 2013,nikipata muda nitairudia tena.
Ila tujipange hapa team Choi Soo Jang akina juan moses wakija patawakaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hili swala lina kera sana na ninaona lina kuwa kwa kasi sana humu Jf.Aya watu wangu wa nguvu tayari kuna group la korean drama fans kwa upande wa whatsapp kwa anae penda na mtu yeyote yule swala tu asiwe member hewa basi ntumien txt whatsap katika namba hii 0712107105 ili tugeane updates mbali mbali na kugeana misaada ya apa na pale yawezekana huu mtaa wa jamiiforum ukawa mbali kidogo japo unanafasi yake tena kubwa tu. so hii ni kuekana karibu katika vitu roho inapenda
Umemuachaje Bidam mkuu?Jamaa ni noma kwa kucheza na Sword.ANAANZA SONG IL GOOK ANAFATA LE DAEGIL(JANG HYUK) ANAMALIZIA SWORD SAINT
ACHENI KUMFANANISHA JUMONG NA VITU VYA KIPUMBAVU
****TEAM SIPENDAGI UJINGA MIMI***
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mambo ya ajabu eti maadui wanakaa wanakula na kunywa wanapojiandaa kupigana...hakuna mambo ya kuviziana. Ila mi nilichukia bhana kwa nini yule mtoto hendsam walimpa nafasi mbaya ile?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha sana na hiyo avatar yako.0713774530 mni add wadau Aigoooooooo!!!!!!!
No namzungumzia Yeo Un yule baadae alirithi cheo cha sky lord.. yaani pamoja na kucheza nafasi mbaya nilikuwa nampendaga hivyohivyo[emoji23] [emoji23] [emoji23]. Yule mtoto wa sword saint mi nilikuwa nampenda nilikuwa nachukia Baek Don Soo anavyomuignore anakapenda kafupi kama mimi kale lol[emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Warrior Baek Dong Soo ni nomaaaaa.
Yule mtoto handsome (si Kim Chunchu yule?)Nimefurahi...sio kila siku kuuza sura.
Kumbe mambo (sword) anayaweza bwana?
Unamkumbuka yule msichana chizi wa kijijini mtaalam wa mishale alivyomzimikia?
Jamani nililia sword Saint alivyokatwa mkono sababu ya yule mtoto!(Baek Dong Soo)
Na pale alipomficha pangoni akatoka kurudi mtoto hayupo...uwiiiiiii
Umemuachaje Bidam mkuu?Jamaa ni noma kwa kucheza na Sword.
Pia mwalimu wake Munno ni habari nyingine.
(Kama umeangalia Queen Seondoek utajua namaanisha nini)
Otherwise... Tuko pamoja.
slave hunter
tree with deep root
shine or go crazy
jackpot.....hizo ni hatar kwa anaependa series za vijijini zenye mkono
Hiyo IRIS ni jiwe...city hunter na IRIS