Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

ile ile wire tun pia nimegundua ina kasi kwenye baadhi ya simu ni kama inabagua simu vile
Yah kuna simu inapiga hadi 800kbps nyingine inazidisha hadi 2mbps ila ukiwa na WiFi router umeua maana utakimbiza hadi 5-10mbps
 
Uzuri wa hiyo drama ni upi?
Hii drama ni nzuri episode ya 1 yenye kisa,ya pili ilipoa flani,ya 3 ikaanza kuja kidogo ila jana ya 4 ni moto hatari i think balaa linaanzia hapa alipoibuka Bulgasal mwingine wa kuitwa Dark Hole ambaye ndiye aliyeua familia ya Min Sang Un.

Battle linaanzia hapa unajua dramas kama hizi huanzaga kwa kupoa ila huchangamka mbeleni kama ilivyokuwa Tale Of Gumiho

Uzuri unaanzia na vita ya Bulgasal asiyeua innocent people na anayeua watu hovyo
 
Hakuna mshindani anayemsahau adui yake hata kwa sekunde moja,
Dawa yenu ni hii: mara hii itakapofika ramadhan na baadae sikukuu hata kuandama kwa mwezi hatutotangaza.

ni mwendo wa kushindilia keki, katlesi, sambusa na vyenginevyo kimya kimya.

Na wazanzibar tunatambulika kwa mapishi hayo, mchana watu tunashindilia biryan kwa juisi ya karkade huku upande wa pili mwashindilia ugali wa njano kama wafungwa.

Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚uyu Babu anazeeka na ujana wake naona, eti mjukuu sijamjibu, khaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
si ulinitaja kwenye thread ya kumtakia member heri ya krismasi, oohhhh nikajisemea leo mjukuu ananiletea pozi zile za baba na mtoto mwanasheria ndani ya VINCENZO.

Itakuwa anataka nimuuze yule punda wangu baadae nimzawadie pesa ya matumizi ya sikukuu.

Ila niliamua kutokudanganyika.
 
Itakua maana kuna tecno nilijaribu ikagoma kabisa,ila tecno nyingine ikakubali vizuri tu
Basi na mimi shida itakuwa simu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nice kabisa ila nimejikuta nimeipenda hivyo hivyo na mwendo wake nilivuta ha tunnel na nikapata files lake telegram grup lao lenye bendera ya Tanzania ila nikajiuliza nafata nini huko wakati nina ka mseleleko kazuri nikaifuta tunnel
Yah kuna simu inapiga hadi 800kbps nyingine inazidisha hadi 2mbps ila ukiwa na WiFi router umeua maana utakimbiza hadi 5-10mbps
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ