Kumbe kuna namna wanaweza zuiaNdo kipindi cha kushusha mizigo yote kama TTCL hawajashtuka na kufunga servers zao [emoji3][emoji3][emoji3]
Ndio mfano mwaka jana mwezi wa 3 nilipewa app ya HA tunnel plus kipindi hicho laini ya halotel mtandao unakimbiza 10MB/sec nilikua nashusha movie au series quality 1080p nilikua sijui kama ipo siku watakuja kuzima serves Zao, nilitumia kama miezi miwili halotel wakashtukia mchezoKumbe kuna namna wanaweza zuia
Em nikazane kushusha
Sent from my Hisense T5 Plus using JamiiForums mobile app
Wenye halotel wapite kushoto mkuuu Franky?Watumiaji wa airtel, shusha hii app weka setting kama nilizoweka mimi wanakupa MB 250 per day hii haina kubembeleza mzigo ukiconnect utafurahi na roho yakoView attachment 2061414
Ile ilikuwa ni njia ya IP zile host za zero rated websites ilikuwa rahisi kuzifungia.Ndio mfano mwaka jana mwezi wa 3 nilipewa app ya HA tunnel plus kipindi hicho laini ya halotel mtandao unakimbiza 10MB/sec nilikua nashusha movie au series quality 1080p nilikua sijui kama ipo siku watakuja kuzima serves Zao, nilitumia kama miezi miwili halotel wakashtukia mchezo
Hawawezi kutufunga sasa VPN ni legal kutumiaIle ilikuwa ni njia ya IP zile host za zero rated websites ilikuwa rahisi kuzifungia.
Kwa hii ya sasa hawewezi kabisa msiwe na shaka hii labda watishie kutufunga sisi tunahujumu uchumi[emoji23][emoji23][emoji23]
Episode ipiWAKATI NAITAZAMA THE VEIL KUNA EPISODE MOJA JAMAA WAKAITAJA TANZANIA [emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2]View attachment 2067927
Nimeisahau episode sababu nimeshaifuta, kuna kipande walikua wanaongelea embassy za korea, wakaitaja embassy ya TanzaniaEpisode ipi
Sehem hyo ndio imetajwa TanzaniaNimeisahau episode sababu nimeshaifuta, kuna kipande walikua wanaongelea embassy za korea, wakaitaja embassy ya Tanzania
Asant mkuu hupo makini sanaSehem hyo ndio imetajwa TanzaniaView attachment 2069068
Naikodoa hapaSi ya kukosa hii
Mazee hii Wire Tun imegoma kwangu tu ama mpka kwenu???
Anhaa me asubuh ilkua fresh nilidownload ep 4 chap tu imeanza kuzingua mchana mpka sahii haitaki kuconnect nimejrbu kuiuninstall nkadownload tena lakin mambo yale yaleSiku hizi naona inazingua. Japo huwa naweka airplane mode on kisha off inakubali
Anhaa me asubuh ilkua fresh nilidownload ep 4 chap tu imeanza kuzingua mchana mpka sahii haitaki kuconnect nimejrbu kuiuninstall nkadownload tena lakin mambo yale yale
Weekend yako ili uende vizuri kabisa itafute drama ya Show window: The Queen's house utajuta kupoteza bando lako. Hii drama inahusiana na Jamaa mmoja alikuwa ana mke wake but anamchepuko pembeni yaani huyu mchepuko aliyocheza hii drama kama wewe unaangalia pia umeolewa utatamani uingie kwenye tv umuue huyo binti, huyu binti anajua kukera na kuumiza kweli kweli mke wa huyo jamaa kashi kashi aliyoipata kwa huyo mchepuko mpaka nikaanza kumuonea huruma aisee binti ni mpole ila vitu alivyokuwa anafanya ni balaa.
missyrose
Numbisa
DAEMUSHIN
Kheri007
Vagabond99
Franky Samuel
🙏🙏Weekend yako ili uende vizuri kabisa itafute drama ya Show window: The Queen's house utajuta kupoteza bando lako. Hii drama inahusiana na Jamaa mmoja alikuwa ana mke wake but anamchepuko pembeni yaani huyu mchepuko aliyocheza hii drama kama wewe unaangalia pia umeolewa utatamani uingie kwenye tv umuue huyo binti, huyu binti anajua kukera na kuumiza kweli kweli mke wa huyo jamaa kashi kashi aliyoipata kwa huyo mchepuko mpaka nikaanza kumuonea huruma aisee binti ni mpole ila vitu alivyokuwa anafanya ni balaa.
missyrose
Numbisa
DAEMUSHIN
Kheri007
Vagabond99
Franky Samuel
Najua hizi ndio type ya drama unazopenda ndio maana nimekutag wanasema kizuri share na wenzakoKumekuchaaa. Shukrani Inno, nimeshaivuta japo nasubiria iishe ndio niangalie maana masuala ya kukimbizana na ongoing inahitaji moyo