Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Nilipakua napakua kidogo kidogo, mimi nikianza drama lazima niimalize ije mvua lije jua. Kama ni mbaya ndio kama hivi drama ya ep12 naangalia mwezi mzima
Mimi pia sikuimaliza Yan nliona najikaza had nataka kupasuka, wasanii wazur wengi stori haieleweki.

Na Yule dada mtangazaji yani kajikondesha hadi havutii na nilimpenda ile drama yake ya sheria
 
Kuna kaupepo flan kama drama kaliiii hamna

Alafu hizi bundle za bure unashusha ukikuta tasteless hata roho aiumi unaiacha.

Nimetizama uncle naona chaebol family kind of zinaniboa, Ila ntaangalia

One and only na Jirisan kama ziko slow

Namalizia snowdrop tu hapa
 
Upo sahihi kabisa series nyingi zilizotoka hivi karibuni nyingi ni za kawaida na zingine ni mbaya kabisa na ndio maana nimeamua kuseach za zamani
 
Mimi pia sikuimaliza Yan nliona najikaza had nataka kupasuka, wasanii wazur wengi stori haieleweki.

Na Yule dada mtangazaji yani kajikondesha hadi havutii na nilimpenda ile drama yake ya sheria
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti hadi unataka kupasuka. Hiyo drama ya sheria inaitwaje?
 
Hali mnazopitia na mie napitia hasa one ordinary day sijaipenda mwanzon bahati nzuri nimevuta episode 6 tu
Naangalia The Tragedy of one hapa najikaza tu iishe..sijawahi kuona drama mbaya kama hii
 
Hali mnazopitia na mie napitia hasa one ordinary day sijaipenda mwanzon bahati nzuri nimevuta episode 6 tu
Nilivyoicheki hiyo nikiingia comment session wanavyompraise Kim so hyun hadi najiuliza tunatizama drama moja au

Then ndo most paid actor...wow

Ni nzuri Ila sio kali.

Kama snowdrop huyu jisoo daah
Kuna blink humu maana ukimponda wanakuja kama nyuki[emoji23][emoji23]
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kuna watu wana bahati ya kudaka mashabiki lia lia. Most paid actor ni drama chache mno alizocheza nikaona za maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…