DuhKwa upande wangu naona ipo wastani tu
Duh
Basi hii naipotezea
Bora niendelee na young lady and gentleman inanifurahisha kwakweli!
Nimeenda kugugo imenivutia...kikwazo kipo hapo kwenye episode 52 dadekiHio tamu hadi najuta kwanini niliiangalia bado ongoing bora ningeisubiria iishe
Nimeenda kugugo imenivutia...kikwazo kipo hapo kwenye episode 52 dadeki
Mi ndo niko episode ya 12 nna hakika adi nifike ya 40 itakua ishafika mwishoHio tamu hadi najuta kwanini niliiangalia bado ongoing bora ningeisubiria iishe
Mi ndo niko episode ya 12 nna hakika adi nifike ya 40 itakua ishafika mwisho
Umenichekesha[emoji16][emoji16][emoji16]Nilipitia hii thread nikaenda tafuta hio vagabond ila imeisha kizembe am not Sure kama ndo mwsho kipande cha 61 chenye dk 7.... from dj skills...iliishia pale chal di geoun sijui kamuu jerome ...ila sijui wapi kaishia Edward park,, na steling wa picha yetu inamaana hakukutana tena na yule demu,, haya wale jessica na yule dem after gerezan inamaana hakuoneshwa tena?
Mimi sio mzimaKheri ya mwaka mpya kwa wanafamilia wote wanaopita humu ndani.
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Natumai ni wazima wa afya.
Mimi sio mzima
Nime download Wire Tun nikajaribu ku connect nikiwa sina Bundle ila haijakubali natumia ttcl sijui nimekosea wapi
Cc@Numbisa
Hakyanani nimechanganya mafileMmh mbona ni new member huyo wakati dae ni ahjuss kabisa humu
Kabla ya kusaidiwa ajibu hilo swali kwanzaNilipodownload niliconnect kabisa ili nizipate server kisha nikahamia laini isiyo na bando tayari kwa mseleleko.
Ikikataa inakuletea maneno gani?
Kwa mithali hizi...ni yeyee[emoji1787][emoji1787]nilipokuwa shule ya msingi niliwahi kunyimwa marks kwenye mtihani wa muhula kwa sababu ya kuandika sio kweli badala ya si kweli. wasumbuliwa na tatizo gani mpaka ukafikia hatua ya kukatika kipande? ........umesema wewe sio mzima.
Ni vizuri kwamba unajua[emoji1787][emoji1787]nashukuru kwa kunikosa au kunimisi shangazi. Ningelikwita ahjumma pasingelikalika
Ngoja niupdate cv yangu kwenye lugha ninazoweza kuongea niongezee kikorea, najua maneno mengi sana aisee[emoji1787][emoji1787]samchon(uncle): tungelikuwa tunaweka bidii mpaka kwenye lugha yao tungelikuwa mbali, mara paap unachukua nafasi ya balozi togolani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukiona nafasi za kazi fanya kuniconnect basikama unajiamini fanya kutuma maombi ya kazi japo ya ualimu huko kwao.utaingia na gia ya kusomesha ingilishi na kiswahili. Wakorea na ingilishi ni kama mpemba na ugali wa bamia.
[emoji16][emoji16] Aunt...nishajua kikorea mienitafanya hivyo IMO.
Ina connect kawaida ila nkisema nishushe series zinakataa,sababu bundle hakuna [emoji16]Natumia chromeNilipodownload niliconnect kabisa ili nizipate server kisha nikahamia laini isiyo na bando tayari kwa mseleleko.
Ikikataa inakuletea maneno gani?