Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Nime download Wire Tun nikajaribu ku connect nikiwa sina Bundle ila haijakubali natumia ttcl sijui nimekosea wapi

Cc@Numbisa
Naomba mtu yeyote ajitolee kunipa maelezo kuhusu hiyo app, inapatikana wapi, na nawezaje kunufaika nayo, vipi kwa line ya Tigo inakubali??


Huwezi amini nadownload series hata episode 20-50 kwa MB za kununua, ni gharama ila kwasababu nimeshakuwa mlevi wa series hakuna namna.
 
Cha bure gharama ndo ilivyo kuna mida net ipo kisha inapungua
Hiyo kitu mbona network huwa inakata yaani utaperezi kidogo mara unakataa inaleta ujumbe no internet connection
Ipo playstore,download kisha connect kwa wengine inakubali kwa tigo ,airtel na ttcl
 
Hiyo kitu mbona network huwa inakata yaani utaperezi kidogo mara unakataa inaleta ujumbe no internet connection
Ili isikutese pale mtandao unaposhuka zima data then washa hapo hapo inakimbiza hatari,hat mimi mwanzo ilinisumbua kwenye hii stage ila sasa nacheza nayo tu
 
Nikimaliza kuangalia tu huwa nafuta hadi najishangaa siku hizi nipo fasta kufuta na haziniumi
Jaribu kutumia ha tunnel

Mimi hii ilinishinda siku ikususa unataman upasue simu. Ha tunnel imefanya PC imejaa yaan kuzifuta roho inauma, so natizama kwenye simu nafuta kesho na download mwendelezo.

Ila ni asubuh tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…