[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mimi sinaga hata huo mudaMara ya kwanza niliandika vyakumkera kumbe sikutuma nashika simu nikarudia kusoma, nikajisemea naweza kua muelimisha ji hata kwa dakika[emoji23] ajikute hapo
[emoji16][emoji16] mimi sitaki hata kusogea huko. Unatumia mseleleko gani hiviNami ndo kilichonitokea saivi ongoing hazinitesi maana nashusha variety si mchezo
Hiyo miziki ndo najionea huruma hahaha
Naweza kaa eti naimba vikorea tena za 80’90’s[emoji26]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asante
[emoji16][emoji16] mimi sitaki hata kusogea huko. Unatumia mseleleko gani hivi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Umeshaiangalia?Wakuu mzee wa tell me what you saw,my country, a.k.a jang hyuk amerejea na kitu Cha moto inaitwa blood heart(red heart)ni [emoji91][emoji91]
Episode chache tu mkuu
Kwa upande wangu nimeiingiza kwenye list ya drama mbovu nilizowahi kuzitazamaEpisode chache tu mkuu
Kwa upande wangu nimeiingiza kwenye list ya drama mbovu nilizowahi kuzitazama
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Siwezi kuelezea ila sikuipenda, ni kama king maker nayo sikuipenda kabisaKwanini mkuu??
mkuu ngoja nikuambie kitu unajua hizi movie au vitabu huwa zinaandikwa ili kuonyesha lengo flani,Siwezi kuelezea ila sikuipenda, ni kama king maker nayo sikuipenda kabisa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Najua mkuu, pengine lengo lake sikulipata vemamkuu ngoja nikuambie kitu unajua hizi movie au vitabu huwa zinaandikwa ili kuonyesha lengo flani,
ukiitazama movie kwa lengo la kufurahia directly unaweza usiwe inspired kabisa
Musical variety nimetizama
Produce 101
Mom is an idol
Phantom singer
Naendelea na King of mask singer, immortal song na Sing Again
Alafu
-2Days&1Night
-Running man* imenishinda wanaongea haraka haraka alaf mpangilio wa matukio siuelewi
-I live alone ndo inaniua mbavu
-Master in the house nimetizama episod 1 muda ni mchache[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Zipo sema huwa naona soo kusema humu maana unakuta nimeisifia wee episode ya kwanza tu kisha nikakuta mbeleni yaliyomo sio basi nakaa tuliii kwa kushushuka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Drama niliyoangalia kwa muda mfupi zaidi ni All of us are dead, zele ni episode 12 lakini ilinichukua masaa tu kuimaliza ( niliianza ijumaa 4 usiku nikaimaliza 7 mchana jmosi)[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daah mimi Mr Queen nilipoanza episode 1 niliangalia mfululizo hadi mwisho. Inaingia kwenye rekodi ya drama nilizoangalia kwa muda mfupi sana...nahisi niliimaliza ndani ya siku tatu
Descendant of the sun, moja kati ya drama mbovu kuwahi kuingalia.Hiyo na Descendant of the sun siziweki kwenye drama kali hata mie
Descendant of the sun, moja kati ya drama mbovu kuwahi kuingalia.
Lakini huwa najiona mtu wa tofauti sana kila nikiona inasifiwa sana.
Hii drama inasifiwa ila sina mpango wa kuangaliaDrama niliyoangalia kwa muda mfupi zaidi ni All of us are dead, zele ni episode 12 lakini ilinichukua masaa tu kuimaliza ( niliianza ijumaa 4 usiku nikaimaliza 7 mchana jmosi)