Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Asante mkuu kwa kutupa maelezo ya drama maana unatusaidia before hata hatujaenda kucheki maana bando lishageuka la budget. By the way binafsi sijavutika na hii ulioeleza cos sijaona uspecial wake au vitu vya ziada zakunivutia niangalie, story ya kawaida haina ubunifu wowote mf drama kama Innocent defendant unaona kabisa ina matumizi ya akili, haitabiliki na story yake imesukwa vizuri na ina hamshamsha sasa hiyo imepoa Sana. Mfano mwingine dangerous wife ni ya mapenzi lakini ndani kuna matukio ambayo yanakufanya ikusisimue kuiangalia zaidi mimi ndio napenda drama za namna hii. Nimekuandakia hivyo sio kwamba naponda taste zako za drama au siheshimu lahasha bali ujue nini napenda ili ukitokea nahitaji drama uwe unajua Nini napenda
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sijui kwa nini nimejikuta naangua kicheko kwenye hii komenti
 
Inno una kiherehere balaa. Ungekausha tu na defendant yako
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani hiyo defendant tunakoma mbona
Tamu sana hio. Napenda drama zinazohusu maisha ya mastaa na behind the scene zao
Ahsante sana kwa kurecommend Behind every star. Hivi ndio vitu napendaga mimi bwana yaani naenjoy balaa hapa nipo episode ya nane na sitamani iishe[emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tamu sana hio. Napenda drama zinazohusu maisha ya mastaa na behind the scene zao
Halafu ulisema romance hujaipenda mbona mimi nimewaelewa sana yule dada mcharuko na yule babe wake mtumishi wa uma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nilijua tu lazima Innocent Defendant itajwe kwa kuwa ina jina la mwanzo kama lako[emoji23][emoji23]

Umesahah na Mhasibu anayefanya kazi na wahuni[emoji23]
 
Sidhani kama kuna member makini wa hili jukwaa hajui kama huyu jamaa anaipenda Innocent dependant, yupo kweli?[emoji28][emoji1]

Huwa unanifurahisha sana mkuu.
 
Imenivutia na kuipenda.
umeisoma hii sentensi yangu na kuielewa?

nahitaji drama uwe unajua Nini napenda
ni nafsi yako pekee ndio inayofahamu whether ulikuwa serious au kwenye hali ya utani mpaka ukaandika hicho ulichokiandika. Naamini umekulia katika familia yenye malezi bora, ikiwa ni kinyume chake basi jitahidi usiukimbilie upoyoyo kwa kujikosesha akhlaq, heshima na insaf ya mjadala.

sijawahi kufikiria kumfurahisha mtu wala kufurahishwa na mtu, najitosheleza kwa asilimia fulani kwenye huu ulimwengu wa sanaa ya wakorea (sijawahi kutegemea comment ya mtu)
 
πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hao akili zao mara waeleweke mara waieleweke walinichosha
Halafu ulisema romance hujaipenda mbona mimi nimewaelewa sana yule dada mcharuko na yule babe wake mtumishi wa uma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚gazeti la poyoyoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚gazeti la poyoyoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Hii vita ya "taste" ni kali mno 🀣🀣🀣
haijawahi kumuacha mtu salama na watu wanavojua kupiga spana yani drama uliyoikubali unaweza kuta mtu anainanga hatari. Sema ndio vile taste zetu haziwezi kufanana inabidi tuvumiliane
 
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]gazeti la poyoyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kulielewa inabidi uwe na undugu na Shaban Robert
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] noma sana ila bwana wengine wamezidi yaani mtu anataka kila drama ifanane na innocent defendant
 
πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ila inno kazidi kutwa kulazimisha drama anayoipenda yeye
Hii vita ya "taste" ni kali mno 🀣🀣🀣
haijawahi kumuacha mtu salama na watu wanavojua kupiga spana yani drama uliyoikubali unaweza kuta mtu anainanga hatari. Sema ndio vile taste zetu haziwezi kufanana inabidi tuvumilianae
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kulielewa inabidi uwe na undugu na Shaban Robert
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…