Sema waliendana sana piaHatimaye nimeimaliza Alchemy of souls
Happy ending hasa naksu/buyeong na jang uk
Love story kali
naksu wa season tuu alivaa uhusika wake kweli kweli kama wa season 1
[emoji106]
Hatimaye nimeimaliza Alchemy of souls
Happy ending hasa naksu/buyeong na jang uk
Love story kali
naksu wa season tuu alivaa uhusika wake kweli kweli kama wa season 1
[emoji106]
Ila unakautam kakeFake poster hiyo imetengenezwa tangu 2021[emoji23]
Vagabond season 2 hakuna update yake yoyote ile kwa tetesi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani wewe upo kama mimi yaani kwa wakorea napenda kila kitu kasoro zombies
Hivi hii genre ndio inakuwaje etiMimi Sci-Fi dah
Naiona inakimbiza sana mjini mimi sina mzuka nayo kabisa ,kama ilivyokuwa Squid game sijawahi kuiona japo ni maarufu sana .Series ikiwa inatrend sana mara nyingi nakosa vibe ya kuingalia.Alchemy of souls season 1full ina epsode 20 za 1hr each
Season 2 ndo ina malizika jpili ina epsod 10
Huu mzigo sio wa kukosa una story nzuri na action za kutosha View attachment 2470536View attachment 2470537
Hivi hii genre ndio inakuwaje eti
Sema hiyo ni kali sana ila ungeiangalia ikiwa ongoing tangu inaanza season 1 ngeona utamu wakeNaiona inakimbiza sana mjini mimi sina mzuka nayo kabisa ,kama ilivyokuwa Squid game sijawahi kuiona japo ni maarufu sana .Series ikiwa inatrend sana mara nyingi nakosa vibe ya kuingalia.
Mmh nitaangalia moja nione inafananaje.Zile stori za mwaka 2090
Zinasimuliwa leo
Au kuexist kwa dunia mbili
Dopplegang/parallel world
Sana yani yule binti ni mrembo haswaSema waliendana sana pia
Mmh nitaangalia moja nione inafananaje.
Yoon Jung ni byuti byutiSana yani yule binti ni mrembo haswa
Whoever recommended Under queen's umbrella stay blessed nlikua naionea uvivu since I am never interested na historical drama ila hii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
[emoji1787][emoji1787] episode ya kwanza tena labda uwe sio mpenzi wa comedy kama mwafulani..mimi nilianzia kucheka episode ya kwanza pale alipoenda kutumbukia kwenye bwawa kumbe halina maji halafu alipokutana na king kwa mara ya kwanzaKama bado hujaangalia ipo nyingine tamu inaitwa mr queen. Episode ya kwanza hautaipenda sana ila zinazofatia ni fireeee
[emoji1787][emoji1787] episode ya kwanza tena labda uwe sio mpenzi wa comedy kama mwafulani..mimi nilianzia kucheka episode ya kwanza pale alipoenda kutumbukia kwenye bwawa kumbe halina maji halafu alipokutana na king kwa mara ya kwanza
King : A wife should obey her husband (akaingizia na mambo ya ying na yang sikuelewa)
Queen : Is this a joseon dynasty or what
King: (Kwa mshangao ) It is!
Queen : Then you must think you are the king or something [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilionaga sielewi nikaifuta🤣🤣Kama bado hujaangalia ipo nyingine tamu inaitwa mr queen. Episode ya kwanza hautaipenda sana ila zinazofatia ni fireeee
Nilionaga sielewi nikaifuta🤣🤣
Yeah nilipenda zaidi alipokuwa anawaza kwa sauti ya kiume [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilianza kuipenda kwa queen kuwa kwenye uhalisia wa kiume. Nilimuonea huruma gumio wetu wa gu family book alipofanyiwa fitna hotelini mpaka kupata msala wa kujikuta joseon