Kwa wapinzani hawa, CCM haitatoka madarakani milele

Kwa wapinzani hawa, CCM haitatoka madarakani milele

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Tayari wameshapotezwa maboya wana deal na alichosema Diallo. Leo Diallo ni Shujaa sababu amemsema Magufuli vibaya. Wanasahau Diallo alishawahi kuwa katika watu wanaofanya ufisaidi nchini

Tuachane na Diallo. Hizi tozo za Kinyonyaji ina maana zinapita hivi hivi hatupazi sauti zetu tumehamia kwenye wimbo unaopigwa na CCM kwa ajili ya CCM?

Ni kweli kila atajayekuja kusema Magufuli alikuwa mbaya tutaungana naye kushangilia? Nchi mambo yake yanaendelea mjue?

CCM ina watu makini sana katika kutunga nyimbo za kuchezesha wapinzani.
 
"Nadhani tuwe waangalifu katika kuchagua, kuwepo na 'track record'. Huko nyuma tulishawahi kuchagua watu waliokwenda hospitali za vichaa, mtu ana kumbukumbu za taarifa za Mirembe (hospital ya vichaa) halafu unamuachia achukue nchi?" - Anthony Diallo
 
Usija tunaendelea kurecord na kuhifadhi majina ya wasaĺiti 2025 kupitia Sanduku lla kura tutawachinja bila huruma
 
Nakubaliana na wewe ila kwa sababu tofauti. Watashindaje wakati CCM wanashirikiana na Jamana Printers kutengeneza makaratasi ya kura ya ziada ya kujipigia wakiwa vyumbani mwao na kuyapeleka vituo vya kupigia kura chini ya escort ya polisi? Katika mazingira hayo wataishinda vipi CCM?
Tayari wameshapotezwa maboya wana deal na alichosema Diallo. Leo Diallo ni Shujaa sababu amemsema Magufuli vibaya. Wanasahau Diallo alishawahi kuwa katika watu wanaofanya ufisaidi nchini

Tuachane na Diallo. Hizi tozo za Kinyonyaji ina maana zinapita hivi hivi hatupazi sauti zetu tumehamia kwenye wimbo unaopigwa na CCM kwa ajili ya CCM?

Ni kweli kila atajayekuja kusema Magufuli alikuwa mbaya tutaungana naye kushangilia? Nchi mambo yake yanaendelea mjue?

CCM ina watu makini sana katika kutunga nyimbo za kuchezesha wapinzani.
 
Tayari wameshapotezwa maboya wana deal na alichosema Diallo. Leo Diallo ni Shujaa sababu amemsema Magufuli vibaya. Wanasahau Diallo alishawahi kuwa katika watu wanaofanya ufisaidi nchini

Tuachane na Diallo. Hizi tozo za Kinyonyaji ina maana zinapita hivi hivi hatupazi sauti zetu tumehamia kwenye wimbo unaopigwa na CCM kwa ajili ya CCM?

Ni kweli kila atajayekuja kusema Magufuli alikuwa mbaya tutaungana naye kushangilia? Nchi mambo yake yanaendelea mjue?

CCM ina watu makini sana katika kutunga nyimbo za kuchezesha wapinzani.
Kwa kutotoka madarakani kurakunufaisha nini wewe kajamba nani?
 
Nakubaliana na wewe ila kwa sababu tofauti. Watashindaje wakati CCM wanashirkiana na Jamana Prinetrs kutengeneza makaratasi ya kura ya ziada ya kujipigia wakiwa vyumbani mwao na kuyapeleka vituo vya kupigia kura chini ya escort ya polisi? Katika mazingira hayo wataishinda vipi CCM?
Swali zuri sana lkn kwa mwenye akili kamili
 
Pls ccm level the playing field na itisha uchaguzi mkuu next week uone nani ataibuka kidedea!tume ya uchaguzi mali yenu,jeshi,polisi,tiss,press vyote hivi mali yenu,uchaguzi gani unaouzungumzia ccm kutawala milele?hakuna uchaguzi wa vyama vingi nchini ni wizi mtupu
 
Simsahau yule mzee wangu mstaafu ..aliniambia mengi wikihilo hilo aliitwa skumuona tena akisema yule kichaa aliugua namimi ndo nilikua nan wao.nitarudi tena kumtafta maeneo ya nyabula

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Tayari wameshapotezwa maboya wana deal na alichosema Diallo. Leo Diallo ni Shujaa sababu amemsema Magufuli vibaya. Wanasahau Diallo alishawahi kuwa katika watu wanaofanya ufisaidi nchini

Tuachane na Diallo. Hizi tozo za Kinyonyaji ina maana zinapita hivi hivi hatupazi sauti zetu tumehamia kwenye wimbo unaopigwa na CCM kwa ajili ya CCM?

Ni kweli kila atajayekuja kusema Magufuli alikuwa mbaya tutaungana naye kushangilia? Nchi mambo yake yanaendelea mjue?

CCM ina watu makini sana katika kutunga nyimbo za kuchezesha wapinzani.
Mwenyekiti wenu mwenyewe alikuwa kichaa nyinyi breed ya kichaa mtashindwa vipi kuwa vichaa pia
 
Back
Top Bottom