Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,774
- 13,566
Nimeleta huku ili tusitoe majibu kisiasa siasa.
CHADEMA: Rais kasaini sheria mpya ya siasa na Tanzania inaenda kuwa Rwanda rasmi, ndio maana Polepole anasema vyama vingi havina maana CCM kinatosha - JamiiForums
Swali ni kwamba, kama jiwe ana focus kwenye maendeleo ya taifa pekee, hawa wakosoaji na wagombea wa nje anawatakisha nn???.
Wana kosa gani nchini???
Think twice ma nigga
:Kama upo kwenye kanisa na lina watu ambao wanakubaliana na misingi ambayo wew unaona haiko sawa na Mungu atavyo,
Suluhisho ni Kuanzisha kanisa lako, na kuweka misingi upya.
Jiwe anamaanisha nn????? Kuwabana wapinzani, au ni ulafi tu wa madaraka?
Sent using Jamii Forums mobile app
CHADEMA: Rais kasaini sheria mpya ya siasa na Tanzania inaenda kuwa Rwanda rasmi, ndio maana Polepole anasema vyama vingi havina maana CCM kinatosha - JamiiForums
Swali ni kwamba, kama jiwe ana focus kwenye maendeleo ya taifa pekee, hawa wakosoaji na wagombea wa nje anawatakisha nn???.
Wana kosa gani nchini???
Think twice ma nigga
:Kama upo kwenye kanisa na lina watu ambao wanakubaliana na misingi ambayo wew unaona haiko sawa na Mungu atavyo,
Suluhisho ni Kuanzisha kanisa lako, na kuweka misingi upya.
Jiwe anamaanisha nn????? Kuwabana wapinzani, au ni ulafi tu wa madaraka?
Sent using Jamii Forums mobile app