kontronoma
Senior Member
- Jan 20, 2012
- 100
- 116
leo mida kama ya saa11 JION nmejaribu kuingia katika mtandao wa tcu nimeshaa kuona nmechagulia vyuo vipya na mipango mipya kabisa..nlifikiri tatizo ni langu peke yangu lakini nlipojaribu kuuliza wenzangu wengi nao tatizo ni moja hayo tu.