Kwa wasiowaelewa


mkuu kuna swali la muhimu hapa, je hivi vitabia alikuwa navyo toka umeanza nae au vimeanza lini? una hakika hakuna jambo ulilomfanyia lililopunguza kukuamini? na kama lipo ulichukua hatua gani kurekebisha hilo na kumwonyesha umerekebisha?
kwa nn nasema hivi!! inawezekana aliwahi kufuma sms zisizo nzuri huko nyuma na ilikuwa kwa bahati mbaya na si kuwa alikuwa ana tabia ya kukagua simu yako, au inawezekana unaruhusu watu wakupigie simu usiku tena zile zisizoeleweka kwa mwenzako (hapa nazungumzia simu toka kwa wanawake).

kama hayo yote hamna, basi inawezekana ikawa huko nyuma kabla yako aliwahi kulizwa mahali na ana wasiwasi kuwa yanaweza kujirudia.. SEMA NAE USUONE SOO, mtafutie siku mtoe out, mweke chini wakati mpo kwenye mood nzuri na mwambie unavyojisikia na mwombe akuamini.. nawe onyesha kwa vitendo kuwa unathamini kukuamini kwako uone kama yatatokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…