MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Heshima mbele wadau!
Naomba msaada ndugu zangu, Kuna mdogo wangu ana stashahada ya uuguzi(Diploma in nursing) anataka kusomea degree ya medicine(MD),Na matokeo yake F4 ni mazuri pamoja na principal pass mbili za PCB F6 ya 2009.Je anaweza kupata chuo hapa nchini?Wenye ufaham plz.
Naomba msaada ndugu zangu, Kuna mdogo wangu ana stashahada ya uuguzi(Diploma in nursing) anataka kusomea degree ya medicine(MD),Na matokeo yake F4 ni mazuri pamoja na principal pass mbili za PCB F6 ya 2009.Je anaweza kupata chuo hapa nchini?Wenye ufaham plz.