guide book ya TCU inasema requirement is form six au diploma in clinical medicine sasa hiyo ya nursing kwenda MD nahc haiwezekani.
Usiwe Unakurupuka kujibu kama huna uhakika.....diploma ya nursing anaruhusiwa Kusoma MDguide book ya TCU inasema requirement is form six au diploma in clinical medicine sasa hiyo ya nursing kwenda MD nahc haiwezekani.
labda akasome clinical medicine first ndo apande mpaka degree ila tofauti na hapo haiwzekan labda chuo kiwe cha Baba ako.Usiwe Unakurupuka kujibu kama huna uhakika.....diploma ya nursing anaruhusiwa Kusoma MD
Usiwe Unakurupuka kujibu kama huna uhakika.....diploma ya nursing anaruhusiwa Kusoma MD
heshima mbele wadau!
Naomba msaada ndugu zangu, kuna mdogo wangu ana stashahada ya uuguzi(diploma in nursing) anataka kusomea degree ya medicine(md),na matokeo yake f4 ni mazuri pamoja na principal pass mbili za pcb f6 ya 2009.je anaweza kupata chuo hapa nchini?wenye ufaham plz.
Mkuu naomba utupe uhahikika make naona kila mtu ana yake! Ukisoma vizur ile guiding ya TCU ni kama inarusiwa vile, mfano tumejaribu kucheki KAIRUKI wanasema angalao mtu awe na diploma ya clinical med,nursing,dentistry,orthopedic, physiotherapy etc.
Yes mkuu hiyo inawezekana kabisa....labda kunaweza kutokea Competition according to GPA...
Ila anajiunga saaafi,anapiga MD yake Saaaafi.
Shukrani mdau! Umetufumbua macho hapa make huyu dogo ailienda kuchukua dip ya nursing baada ya kubaniwa clinical officer serikalini japo haikua nia yake kusomea nursing na alishaanza kufikiria kwenda kusomea ualimu wa nursing.Bas ngoja tuchakarike na nacte mkuuWatu walikuwa na Diploma ya Radiology na wakaenda kusomea Medicine,sembuse Nursing...
Na bado wapo wengi weny Diplom ya Nursing wanaosomea MD.
Vyuo vipo KCMC,BUGANDO,MUHAS,UDOM na vingine vingi.
Heshima mbele wadau!
Naomba msaada ndugu zangu, Kuna mdogo wangu ana stashahada ya uuguzi(Diploma in nursing) anataka kusomea degree ya medicine(MD),Na matokeo yake F4 ni mazuri pamoja na principal pass mbili za PCB F6 ya 2009.Je anaweza kupata chuo hapa nchini?Wenye ufaham plz.
Ngumusanaaa aseee labdaa kwavyuoo vyenye pesambeleee kahirukii etc
Hata H Kairuki wameandika requirements ni form6 PCB au diploma in clinical medicine xo diploma in nursing kusoma medicine ni ndoto labda akasome degree ya nursing.
Usiwe Unakurupuka kujibu kama huna uhakika.....diploma ya nursing anaruhusiwa Kusoma MD