Kwa wataalam wa AFYA!

Sawaaaa babaaa kamaa anataka soma MD kwaninii asisome CM iyoo physics E ndoninii BRN bhanaaa

Asome CM..!! Sasa atakuwa anafanyaje!!! Ulimwengu utamshangaa..Kwa kuwa ana diploma kinachotakiwa aTAKE step high,na MD ndo chaguo lake....
 
Hata H Kairuki wameandika requirements ni form6 PCB au diploma in clinical medicine xo diploma in nursing kusoma medicine ni ndoto labda akasome degree ya nursing.

Inawezekana tu.
Sema unaongea usichokijua.....
Na unatishwa na hayo maandishi uliyoyasoma.
Wapo watu wengi waliofanya ivo na wengne bado wanasoma.
 
Vyuo karibu vyote inawezekana.tunasema hivi coz tuna uhakika na tuna ushaidi....

Inawezeka hajui kitu huyo mkuu! kuna Dr kaniPM,Kasema yuko hospitali ya Tengeru Arusha, amesema yeye alianza na nursing baadae akaenda MD Muhimbili kwa equivalent ya diploma ya nursing na sasa ni Dr bingwa wa watoto.Kuna wengine na wamesema moja anadoma KCMC na mwingine nae kasema anasoma KAIRUKI kwa equivalent za nursing.Tunashukuru msaada wenu jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…