bill Shnky
Member
- Dec 12, 2017
- 65
- 37
CC mrangiHabar za cku ya Leo ,
Kama nilivoeleza apo kuwa nahitaji kufungua mwalo ya kuzalisha udongo wa dhahabu unaotokana na mawe ya dhahabu yaliyo sagwa na kuoshwa ili baadae niweze kuuza huo udongo kwa bei nzur
Je naweza anza kwa Hera kiasi gani ili kukamiliza zoez la kuanza kuzalisha huo udongo pia naomba ushauri ni kipi nifanye ili nifanikiwe zaid kwenye hii biashara
Naomba mawazo yenu kwa walio na experience ya uzalishaji huu.
1 upo wapi?Habar za cku ya Leo ,
Kama nilivoeleza apo kuwa nahitaji kufungua mwalo ya kuzalisha udongo wa dhahabu unaotokana na mawe ya dhahabu yaliyo sagwa na kuoshwa ili baadae niweze kuuza huo udongo kwa bei nzur
Je naweza anza kwa Hera kiasi gani ili kukamiliza zoez la kuanza kuzalisha huo udongo pia naomba ushauri ni kipi nifanye ili nifanikiwe zaid kwenye hii biashara
Naomba mawazo yenu kwa walio na experience ya uzalishaji huu.
1 upo wapi?Habar za cku ya Leo ,
Kama nilivoeleza apo kuwa nahitaji kufungua mwalo ya kuzalisha udongo wa dhahabu unaotokana na mawe ya dhahabu yaliyo sagwa na kuoshwa ili baadae niweze kuuza huo udongo kwa bei nzur
Je naweza anza kwa Hera kiasi gani ili kukamiliza zoez la kuanza kuzalisha huo udongo pia naomba ushauri ni kipi nifanye ili nifanikiwe zaid kwenye hii biashara
Naomba mawazo yenu kwa walio na experience ya uzalishaji huu.
1 upo wapi?Habar za cku ya Leo ,
Kama nilivoeleza apo kuwa nahitaji kufungua mwalo ya kuzalisha udongo wa dhahabu unaotokana na mawe ya dhahabu yaliyo sagwa na kuoshwa ili baadae niweze kuuza huo udongo kwa bei nzur
Je naweza anza kwa Hera kiasi gani ili kukamiliza zoez la kuanza kuzalisha huo udongo pia naomba ushauri ni kipi nifanye ili nifanikiwe zaid kwenye hii biashara
Naomba mawazo yenu kwa walio na experience ya uzalishaji huu.
Nilianza na m8Sawa moja upate eneo la hiyo sehemu
2 uhakikishe lipo karibu na machimbo hayo
3 uwe na zile mashine za kusagia hayo mawe
Hiyo mtaji kiasi cha chini ni kama 13milion