Guus
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 1,139
- 842
Nimekuwa nikiona mara nyingi sana inapotokea kurasa ya mtandao wa kijamii kama "Facebook" ya mtu ikawa na kitu chenye taharuki, wahusika hukimbilia kusema wamedukuliwa.
Huwa napata kigugumizi sana kuuamini huu udukuzi, hasa wa nywila za hii mitandao ya kijamii. Wataalamu wa "IT Security"
Naombeni mniambie usahihi wa huu utetezi.
Huwa napata kigugumizi sana kuuamini huu udukuzi, hasa wa nywila za hii mitandao ya kijamii. Wataalamu wa "IT Security"
Naombeni mniambie usahihi wa huu utetezi.