Sabi Sanda
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 409
- 31
Salaam
Kwa wale ambao (au ndugu zao au rafiki) watahitaji kupata viwanja vilivyopimwa maeneo ya Kerege naomba tuwasiliane. Kwa sasa nimeanza utaratibu wa kubadilisha matumizi ya shamba langu la ekari 36.8 kuwa eneo maalumu la makazi ya watu. Eneo hili liko mkono wa kulia kama unatokea Dar kwenda Bagamoyo na ni umbali wa km 1.5 toka barabara kuu iendayo Bagamoyo. Kerege iko umbali wa km 23 toka Tegeta au km 10 toka Bunju ukielekea Bagamoyo. Viwanja vitakuwa na ukubwa wa angalau mita za mraba 900 kwa kila kiwanja na bei ya mita moja ya mraba itakuwa ni shilingi 8,500. Taratibu zote zinategemewa kukamilika kabla ya mwisho wa mwezi Juni mwaka huu. Ndani ya Kijiji cha Kerege Kamal Group wanajenga the largest Industrial complex in Tanzania. Kwa anayehitaji (mtu binafsi, kikundi, Saccos, kampuni au taasisi) tuwasiliane kwa simu namba 0659 281964.
Kwa wale ambao (au ndugu zao au rafiki) watahitaji kupata viwanja vilivyopimwa maeneo ya Kerege naomba tuwasiliane. Kwa sasa nimeanza utaratibu wa kubadilisha matumizi ya shamba langu la ekari 36.8 kuwa eneo maalumu la makazi ya watu. Eneo hili liko mkono wa kulia kama unatokea Dar kwenda Bagamoyo na ni umbali wa km 1.5 toka barabara kuu iendayo Bagamoyo. Kerege iko umbali wa km 23 toka Tegeta au km 10 toka Bunju ukielekea Bagamoyo. Viwanja vitakuwa na ukubwa wa angalau mita za mraba 900 kwa kila kiwanja na bei ya mita moja ya mraba itakuwa ni shilingi 8,500. Taratibu zote zinategemewa kukamilika kabla ya mwisho wa mwezi Juni mwaka huu. Ndani ya Kijiji cha Kerege Kamal Group wanajenga the largest Industrial complex in Tanzania. Kwa anayehitaji (mtu binafsi, kikundi, Saccos, kampuni au taasisi) tuwasiliane kwa simu namba 0659 281964.