Kwa watalamu wa magari msaada wenu tafadhali

Kwa watalamu wa magari msaada wenu tafadhali

Chilemba wamela pamputi

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2019
Posts
468
Reaction score
486
Habari za humu wakuu, wadogo marhaba na wakubwa wote shikamoni.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nina gari yangu inasumbua ni automatic. Yaani ukiwa unaendesha unasikia kama inakuvuta nyuma au kama umebonyeza break, unaenda kwa muda inaachia tena, sasa hivyohivyo kwa kujirudia rudia.

Naomba mwenye uelewa wa tatizo anisaidie au aliyewahi kukutana na tatizo hilo pia inasasidie,

Nataizya saana.
 
Maelezo yako hayajitoshelezi.

Gari yako ni brand gani na model gani?

Inavuta mbele, nyuma au all wheels drive?
 
Back
Top Bottom