Kwa watanzania wengi fast food ni chakula bora na kinaonesha wewe ni tajiri!

Kwa watanzania wengi fast food ni chakula bora na kinaonesha wewe ni tajiri!

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Asilimia kubwa ya watanzaia wanaona kula fast food ndio unakula chakula bora, na wanakuchukulia wewe kama doni wa mtaa. Chakula chako kikihusisha mboga kama bamia, dagaa na mboga nyingine za majani wewe unaonekana kapuku usiyekula vitu wa vya maana!

Mtu anakula chakula bora chenye virutubisho kama dawa akishauriwa na daktari wakati anaumwa, akishapona ni mwendo mdundo.

Kwako mdau chakula bora ni kipi?
 
Watu wanakula hivi

Ova
20220830_132333.jpg
 
Sas
Asilimia kubwa ya watanzaia wanaona kula fast food ndio unakula chakula bora, na wanakuchukulia wewe kama doni wa mtaa. Chakula chako kikihusisha mboga kama bamia, dagaa na mboga nyingine za majani wewe unaonekana kapuku usiyekula vitu wa vya maana!

Mtu anakula chakula bora chenye virutubisho kama dawa akishauriwa na daktari wakati anaumwa, akishapona ni mwendo mdundo.

Kwako mdau chakula bora ni kipi?
Sasa mkuu KFC au subway vyakula vyao buku tano kuendelea wakati kwa mama ntilie buku jero au buku mbili kwa nini usionekane Don
 
Dagaa za kigoma na kuku wa Kienyeji hizi ni mboga zipo sawa sana...mboga mboga pamoja na maziwa ya mgando...tena hizo dagaa kuzipika mwenyewe nilijifunza ili nisipunguze ubora wake...
 
Kula mboga moja kila siku ni dalili ya umasikini haipingw hiyo watu wenye hela kila chakula chenye vitamin wanakula
 
Asilimia kubwa ya watanzaia wanaona kula fast food ndio unakula chakula bora, na wanakuchukulia wewe kama doni wa mtaa. Chakula chako kikihusisha mboga kama bamia, dagaa na mboga nyingine za majani wewe unaonekana kapuku usiyekula vitu wa vya maana!

Mtu anakula chakula bora chenye virutubisho kama dawa akishauriwa na daktari wakati anaumwa, akishapona ni mwendo mdundo.

Kwako mdau chakula bora ni kipi?
We ungependa watu wote wale nini?maana suala la chakula ni binafsi
 
Back
Top Bottom