Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Alichopika wifeKwako mdau chakula bora ni kipi?
makande yaliyokolea NaziKwako mdau chakula bora ni kipi?
na wote tunaishia maliwatoni na uvundo ule ule tu.Ule fast food ule bamia ugali nyanya chungu. Wote tutakutana futi 6
Hivi hapa unaonja chakula au unakula ,huo ugali si wa mtoto mdogo kabisa [emoji23], ......!!Au hivi
Mkuu ukitok hapo kwa wazee huo Ugali utaugawaHivi hapa unaonja chakula au unakula ,huo ugali si wa mtoto mdogo kabisa [emoji23], ......!!
Sasa mkuu KFC au subway vyakula vyao buku tano kuendelea wakati kwa mama ntilie buku jero au buku mbili kwa nini usionekane DonAsilimia kubwa ya watanzaia wanaona kula fast food ndio unakula chakula bora, na wanakuchukulia wewe kama doni wa mtaa. Chakula chako kikihusisha mboga kama bamia, dagaa na mboga nyingine za majani wewe unaonekana kapuku usiyekula vitu wa vya maana!
Mtu anakula chakula bora chenye virutubisho kama dawa akishauriwa na daktari wakati anaumwa, akishapona ni mwendo mdundo.
Kwako mdau chakula bora ni kipi?
WwyUbora wa chakula una endana na bei
We ungependa watu wote wale nini?maana suala la chakula ni binafsiAsilimia kubwa ya watanzaia wanaona kula fast food ndio unakula chakula bora, na wanakuchukulia wewe kama doni wa mtaa. Chakula chako kikihusisha mboga kama bamia, dagaa na mboga nyingine za majani wewe unaonekana kapuku usiyekula vitu wa vya maana!
Mtu anakula chakula bora chenye virutubisho kama dawa akishauriwa na daktari wakati anaumwa, akishapona ni mwendo mdundo.
Kwako mdau chakula bora ni kipi?