Kwa watanzania wengi mchezo ni soka tu

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Bongo mtu akisikia michezo kinachokuja akilini ni football [emoji460]️ tu.

Hata kelele nyingi na uwekezaji uko kwenye football.

Na huko ni full mambo ya usimba na uyanga tu.

Jamani dunia imefunguka.

Michezo ni mingi sana saivi.

Kuna ndondi aka nakozi na Taekwondo mieleka [emoji2247] [emoji1625] Sarakasi[emoji1732] michezo ya baiskeli[emoji2187] kurusha tufe kisahani [emoji3478] [emoji3041]

kubeba vitu vizito[emoji963]michezo ya majini [emoji2112] [emoji571] [emoji475]

Golfu[emoji2503]kupanda miinuko[emoji3254]michezo ya wanyama[emoji470] Basketball [emoji459] baseball [emoji461] [emoji2261] handball [emoji461]️ walemav [emoji68]‍🦽

Michezo ya baiskeli [emoji467] basketball [emoji3571] michezo ya kuteleza [emoji473][emoji3555]

kukimbia mbio fupi na ndefu [emoji2089] kuruka juu na chini michezo ya mezani [emoji463] kulenga shabaha [emoji457] [emoji465] tenisi[emoji3039] vinyoya [emoji972] kriketi [emoji968]nk nk

Jamani michezo ipo mingi mingi sana sio football tu.

Tupeleke macho, talanta zetu na uwekezaji kwenye michezo hii mingine maana sio kila mtu anajua kucheza football.

Halafu uzuri jamii zetu nyingi tayari zina hii michezo kwa mfano ndugu zetu wamasai wao kiasili ni walenga shabaha sio ajabu wangeweza kutuletea medali kibao tu kama wangepelekewa hiyo michezo ya kulenga shabaha.
 
Michezo IPO mingi vifaa hakuna na viwanja hakuna watu wanapenda kile wanachokiona mara kwa mara

NB: Dunia nzima football ndio mchezo pendwa ila Kuna baadhi ya watu tunapenda zaidi michezo ya mikono mf:binafsi napenda sana basketball na netball ila ndio hivyo access ya kuona ni ndogo sana
 
Sio Futiboli tu .......in fact Michezo hasa hasa kwa Tanzania ambako mashabiki asilimia 75 wa kandanda ni Simba unamaanisha S.S.C...

Yaani Wana Lunyasi.....! Ukisema Michezo tu = S.S.C..!
 
shida ni mazoea tu mbona ule uwanja wa football unaweza kutumika kwa michezo mingine mingi tu kama mbio, miruko ya juu na chini, handball, mieleka, sarakasi n.k.
 
Binafsi huwa nikiangaliaga fursa zilizopo kwenye ndondi leo hii, huwa najutaga sana kwanini niliamua kuacha boxing mwaka 2007 na wakati nilikuwa na mwenendo mzuri, mpaka mabraza niliokuwa napigia nao tizi walikuwa wananisifia na kuniogopa maana nilikuwa nawakalisha vibaya sana kwenye sparring... yes, i was the beast in boxing

Nani anajua pengine labda leo hii watu wasingemjua Twaha kiduku kwa sababu yangu mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…