mheshimiwamtemi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 291
- 218
- Ubunge kwa uchaguzi huu ni hisia sio uwakilishi
- Watia nia ni wengi kuliko chaguzi zilizopita
- Vijana ndio wanaongoza kutia nia japo wengi wao hawajulikani jimboni maana wanaishi mijini tuu
- Wasanii nao wameona mifano ya watangulizi wao hivyo hawako nyuma
- Wabunge vigogo au waliokuwa mawaziri wamegawana majimbo bila kuingiliana hii ni dhahiri vijana wengi watakosa
- Ubunge una pesa nyingi na thamani ya juu kuliko teuzi za Rais
- Siasa na dini havitengani maana viongozi wa dini wanahubiri siasa
- Vyama vya siasa vina wateule wao hivyo wengi wa watia nia wanajisumbua tuu au wanaandaa C.V zao
- Vyana dhaifu vingi vitakosa wawakilishi Bungeni
- Wananchi watakosa wawakilishi makini Bungeni